Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni kajinga wewe, kwanza hata buku 10 hapo huna unabisha?njooo uione shezi ww
Naona umetumia mbinu za kijeshi (Hamonaizi) kufikisha ujumbe😆Watu wengi wanaobeti haya huwa ni mawazo yao. Yakiwakaa sana akilini huwa wanayatoa kama stori zilizowakumba/kuzifanya.
Sijasema wewi lakini, japo unaweza kuwa wewe.
Lazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet Sijui ni kitu gani na kinafananaje☹️☹️Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.Mbn kinyonge mamii..lini twende kidimbwi na sisi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengi wanaobeti haya huwa ni mawazo yao. Yakiwakaa sana akilini huwa wanayatoa kama stori zilizowakumba/kuzifanya.
Sijasema wewi lakini, japo unaweza kuwa wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makaburiiiiiiiihNapita tu[emoji41]View attachment 2150250View attachment 2150251
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jeiefu bhana kunahitaji timetable kabisa..
Yaani muda fulani hadi fulani nitakuwa Jeiefu...
Watu wamekuwa wa hovyo,,, Huyu anatoa 150k mademu wagawane,, mwingine ametelekeza manzi kisa gharama ya lodge ni150k.. hapo bado yule wa last year wa nauli ya Elfu saba analia lia..,, Huyu anajimwambafai kula mademu wawili, mwenzake anafukukua makaburi ya nzuri zilizopita
Vituko sana jeiefu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet Sijui ni kitu gani na kinafananaje[emoji3525][emoji3525]Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.
Sasa huko kidimbwi ndugu yangu nitakuwezea wapi mimi.hivi kwanza iko sehemu gani?
Hiyo moet tutaenda kukujulia hukohukoLazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet
Ahahah unalalamika sn my dear,one day yesSijui ni kitu gani na kinafananaje☹️☹️Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.
Dah😀..basi unaweza kuta wewe ni mwenyeji wa kidimbwi kuliko Sisi tunaojifanya tunapajua sn..Sasa huko kidimbwi ndugu yangu nitakuwezea wapi mimi.hivi kwanza iko sehemu gani?
Ulitakiwa useme "wanafunzi wa chuo tutafika mbinguni tuko Hoi sana"😀😀Wanafunzi wa chuo watafika mbinguni wako hoi sana lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee Dr mchokozi sana eti eeh?Ulitakiwa useme "wanafunzi wa chuo tutafika mbinguni tuko Hoi sana"[emoji3][emoji3]
Nakusalimu mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu upo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] makaburiiiiiiiih
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
SH we acha tu ukiwa huna pesa ni huzuni sana.Hiyo moet tutaenda kukujulia hukohuko
Ahahah unalalamika sn my dear,one day yes
Dah😀..basi unaweza kuta wewe ni mwenyeji wa kidimbwi kuliko Sisi tunaojifanya tunapajua sn..
Nasikia ipo mbezi beach😀
Sawa usijali..😀SH we acha tu ukiwa huna pesa ni huzuni sana.
Tupange siku moja nikija mjini ukanitembeze huko ndugu yangu😔😔
Wanafunzi wa chuo watafika mbinguni wako hoi sana lol