Yaliyojiri Weekend ya jana Kidimbwi

Watu wengi wanaobeti haya huwa ni mawazo yao. Yakiwakaa sana akilini huwa wanayatoa kama stori zilizowakumba/kuzifanya.

Sijasema wewi lakini, japo unaweza kuwa wewe.
Naona umetumia mbinu za kijeshi (Hamonaizi) kufikisha ujumbe😆
 
Mbn kinyonge mamii..lini twende kidimbwi na sisi
Lazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet Sijui ni kitu gani na kinafananaje☹️☹️Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.

Sasa huko kidimbwi ndugu yangu nitakuwezea wapi mimi.hivi kwanza iko sehemu gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Lazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet Sijui ni kitu gani na kinafananaje[emoji3525][emoji3525]Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.

Sasa huko kidimbwi ndugu yangu nitakuwezea wapi mimi.hivi kwanza iko sehemu gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Lazima niwe mnyonge baba…maana hata hiyo Moet
Hiyo moet tutaenda kukujulia hukohuko
Sijui ni kitu gani na kinafananaje☹️☹️Ni huzuni sana haya maisha ha yako fair kabisa.
Ahahah unalalamika sn my dear,one day yes

Sasa huko kidimbwi ndugu yangu nitakuwezea wapi mimi.hivi kwanza iko sehemu gani?
Dah😀..basi unaweza kuta wewe ni mwenyeji wa kidimbwi kuliko Sisi tunaojifanya tunapajua sn..

Nasikia ipo mbezi beach😀
 
Hiyo moet tutaenda kukujulia hukohuko

Ahahah unalalamika sn my dear,one day yes


Dah😀..basi unaweza kuta wewe ni mwenyeji wa kidimbwi kuliko Sisi tunaojifanya tunapajua sn..

Nasikia ipo mbezi beach😀
SH we acha tu ukiwa huna pesa ni huzuni sana.

Tupange siku moja nikija mjini ukanitembeze huko ndugu yangu😔😔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…