Yanga 4 1 platinum fc.
Tena mchawi wa kubeba na matunguri kabisa na kuzunguka nayo kokote niendako.
Mimi mwenyewe hapa naiombea Yanga ifungwe tu, kinyonga hawezi kuwa chui hata akikua namna gani.
Siku zote ushabiki wa mpira ni wa kinafiki tu. Nitaishangilia Yanga ikiwa kushinda kwake kutaifaidisha simba Moja kwa moja.
Makoye Matale niko kwenye Group moja la Whatsapp nimewapa historia ya Yanga kwa timumza Zimbambwe kuna jamaa mmoja akaja na hadithi mwisho wa siku kamuomba Adm amuondoe kwenye group baada yakuona amechemka.
yanga msitake kutuudhi. sisi tumesahau tofaut zetu tumeamua kuja kuwashangilia mnafanya mambo ya ajabu team kama hii haipaswi kupata hata 0 wanatakiwa wapate negative 0 kabisa hawa wapigeni 10 leo kwa hilo moja lao. ni team mbovu sana hii huko kwao inashika nafasi ya nne wakati ninyi mnaongoza.
Wivu mbaya jamani! pole sana mpinzani,Bora hii nafasi ya Platinum wangepewa Ndanda labda wangeleta upinzani.
Bora hii nafasi ya Platinum wangepewa Ndanda labda wangeleta upinzani.
Yanga 4 1 platinum fc.
Da! Tambwe aliunasa mpira,akampa ngasa,ngasa akatoag kwa msuva,msuva akapga ndan ya sita ngasa akapshana nao, niyonzma akawa offside! Jpo alshakosa
Borusia Dortmund kwenye ligi ya ujeruman ni wa 12 lakin UCL wanakipiga vizuri tu.
Bora hii nafasi ya Platinum wangepewa Ndanda labda wangeleta upinzani.
Watu Wa Roho Mbaya Ndio Kama Wewe