Simba imeshasahaulika kwenye medani za kimataifa! Wewe jifariji tu.
Wataishia ndondo kila mwaka.
Hahahaaa, ujue wiki ilopita walitawala jukwaa ila leo ni zamu yetu....
Kutesa kwa zamu ila sisi ndio zaidi.
Timu imefunga magoli zaidi ya ishirini huwezi kusema ina washambuliaji butu, labda useme hatuna namba tisa tegemeo kama ilivyokuwa kwa Emmanuel Gabriel, Nteze John Lungu,Musa Mgosi, Felix Sunzu, Amis Tambwe, Selemani Ndikumana au Athumani Machupa.Simba ilicheza na Ruvu JKT Dar, kipa wa Ruvu alipigwa red card, Pius Kisambare alivaa gloves na kudaka michomo yote ya Simba, refa angewasaidia vipi zaidi ya hapo? Yanga ilirudi kipindi cha pili ikiwa na nguvu mpya, Toto hawakuweza kuhimili huko jijini Mwanza.
Kwa msimu huu, kiufundi Simba bado haijatulia, ushindi dhidi ya Yanga na hata Mtibwa ni kama vile ni God given, magoli yamefungwa na mtu mmoja tena mita kibao toka langoni. Ni dalili kuwa safu ya ushambuliaji ni butu, si ajabu mtarudi kwenye draw zenu mlizozizoea katika mechi zijazo.
Kama hujui kitu ni busara kukaa kimya.
yaan kwa matokeo haya kwa upande wangu ni bora sana kuliko tungemfunga mtani.maana hapa tunapata heshima africa nzima.pia huku tutapata zaid ya ml200............
Ni kweli lakini suala la kuwafunga Simba nalo ni mhimu sana
ni kweli lakin km unaambiwa uchague mechi moja ya kushinda wewe unachagua ipi?
Heti tuwe wazalendo.Kwa uzalendo upi waliowahi kutufanyia?.Nikikumbuka ya TP MAZEMBE Machozi yananitoka.Nanyie azam mnaitakia yanga ushindi kwa lip?Mmesahau walivyowafanyia kwa al marek pale chamanzi?.Mimi siwezi kuwa mnafiki kutoka moyoni nawatakia ushindi mnono tena wa goli nyingi platnum fc.
Yanga tuko kimataifa zaidi
Timu imefunga magoli zaidi ya ishirini huwezi kusema ina washambuliaji butu, labda useme hatuna namba tisa tegemeo kama ilivyokuwa kwa Emmanuel Gabriel, Nteze John Lungu,Musa Mgosi, Felix Sunzu, Amis Tambwe, Selemani Ndikumana au Athumani Machupa.
Lakini niamini kombinesheni ya Okwi, Singano na Ibrahim mwalimu akiiamini inaweza kufanya vizuri sana. Bado hata Maguri na Danny Serunkuma nao sio wa kupuuzwa.
Halafu yale magoli ya Okwi kama ni mfutiliaji mzuri sio ya kubahatisha; Aliwafunga Yanga goli kama hilo mwaka 2012, aliwafunga Shandy , aliwafunga Entente du Setif, aliwafunga Azam, amewafunga Yanga tena, kawafunga Mtibwa ya aina hiyo. Sio bahati 100%, yanafanyiwa mazoezi kwa hiyo unapopiga siku zingine unakosa siku zingine unapata na ndo maana kafunga magoli mengi tu nje ya 18.
Ningechagua hii
Bado lakini nina hamu ya kuwaona SIMBA wakibutuliwa kipigo kama cha leo
Yanga tuko kimataifa zaidi
Timu imefunga magoli zaidi ya ishirini huwezi kusema ina washambuliaji butu, labda useme hatuna namba tisa tegemeo kama ilivyokuwa kwa Emmanuel Gabriel, Nteze John Lungu,Musa Mgosi, Felix Sunzu, Amis Tambwe, Selemani Ndikumana au Athumani Machupa.
Lakini niamini kombinesheni ya Okwi, Singano na Ibrahim mwalimu akiiamini inaweza kufanya vizuri sana. Bado hata Maguri na Danny Serunkuma nao sio wa kupuuzwa.
Halafu yale magoli ya Okwi kama ni mfutiliaji mzuri sio ya kubahatisha; Aliwafunga Yanga goli kama hilo mwaka 2012, aliwafunga Shandy , aliwafunga Entente du Setif, aliwafunga Azam, amewafunga Yanga tena, kawafunga Mtibwa ya aina hiyo. Sio bahati 100%, yanafanyiwa mazoezi kwa hiyo unapopiga siku zingine unakosa siku zingine unapata na ndo maana kafunga magoli mengi tu nje ya 18.
Yanga kacheza mechi 16 hadi sasa
Simba kacheza mechi 18 hadi sasa