Labda tbc, lakin azam tv hawaioneshi.Mwenye taarifa kama game itaonyeshwa atujuze
mnasaka huruma mmesahu ya TP Mazembe
Umeongea jambo la maana sana,ukweli ni kwamba viongozi wa yanga wanaendesha soka kizaman sana kwa kuzuia mechi zao nyingi kuoneshwa live kwenye tv kwa maslah yao wenyewe, nawashangaa sana mashabiki hasa wa mikoani kutokuhoji hilo kwani wanakosa uhondo na kubaki kwenye radio wakiambiwa lalalalalaaa! hatari paleeeeee wakt hata striker hajakaribia kwn 18
ukweli ni kwamba viongozi wa yanga wanaendesha soka kizaman sana kwa kuzuia mechi zao nyingi kuoneshwa live kwenye tv kwa maslah yao wenyewe, nawashangaa sana mashabiki hasa wa mikoani kutokuhoji hilo kwani wanakosa uhondo na kubaki kwenye radio wakiambiwa lalalalalaaa! hatari paleeeeee wakt hata striker hajakaribia kwn 18
View attachment 234751 vs View attachment 234752
Mechi saa Kumi Jioni Uwanj wa Taifa Dar Es Salaam
Nimebahatika kuwaoana hawa Platinum wakipasha leo asubuhi, kwa kweli wameshiba
Kila la Heri Yanga Africa, wawakilishi pekee wa Tanzania Kimataifa, jitahidi msiingie mkimuwazia Okwi bali muweke masilahi ya Taifa Mbele
kwa icho kikosi sitarajii ushindi, said makapu uwezo wake wa kawaida sana.Kikosi cha Yanga kinachoanza leo dhidi ya Platinum ya zimbabwe;
1. Ally Mustapha Barthez
2.Juma Abdul
3.Oscar Joshua
4.Mbuyu Twite
5.Kelvin Yondan
6.Juma Said Makapu
7.Simon Msuva
8.Salum Telela "Abo Master"
9.Amiss Tambwe
10.Mrisho Ngassa
11.Haruna Niyonzima
SUB....
Deogratius Munishi
Rajabu Zahir
Hassan Dilunga
Kpah Sherman
Edward Charles
Jerryson Tegete.
Kila la kheir timu ya wananchi Dar Young Africans