Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
- Thread starter
-
- #41
Kwanini mama. Share tukusaidieNahisi kulia
Yanga wanavyomfukuzia mnyamaKwanini mama. Share tukusaidie
Cha kufurahia ni nini wakati mechi inaanza mnajua matokeo,acheni maigizo ya kihindiHakuna cha Mbao wala kuni, tunapigaga. Yanga mnajua kutupa raha siye. Ni mwendo wa 6,4,3 hahahahaaaa... Tunagawa dozi taratibuuuuuu...
#teamyangaforever#
Sema taratibu Kichuya atasikia"Ukiona SIMBA anaongoza ligi ujue YANGA kasafiri"