Yaliyojiri: Yanga vs Mbao FC

Yaliyojiri: Yanga vs Mbao FC

Vijana wa simba wameanza kuonyesha hofu kwa timu ya wananchi
1477843485909.png


1477843443371.png
 
Wale walicheza na wachezaji 4 wa kikosi cha pili cha Mbao FC. Sisi Tumecheza nao wakiwa full na wamelaka 3 mtungi...

Nauliza tu jamani, hivi Mbao FC nao (kwa kushawishiwa na mikia FC) watawafungia baadhi ya wachezaji wao kutokana na kipigo cha 3-0??????????????????
 
Hawa vijana walidhani leo tena wamakutana na vichaa,sasa tunataka twende mbea tukachukue point zetu 6.
 
Back
Top Bottom