OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mikia a.k.a masharubu mbona mmekimbia
Chezeni Mpira wa miguu,wa mikono waachieni chanetaYanga ni nouma.
Sawa wazee wa kununua magoli machache. Mnanunua kagoli kamoja kwa Mbao tena kagoli ka jioni. Sisi leo tumenunua matatu kuwaonyesha kuwa ni bora zaidi yenuChezeni Mpira wa miguu,wa mikono waachieni chaneta
Hahaha usijali next tym nitakumention tukianza live update za kijanjauwe unanistuaga boss
Kipindi cha pili:
Yanga 2
[emoji12] [emoji12] pole sanaCha kufurahia ni nini wakati mechi inaanza mnajua matokeo,acheni maigizo ya kihindi
uyo jamaa aliyeingia kwa group na ku left hiyo tabia inakera sana yani kama mpelelezi vileVijana wa simba wameanza kuonyesha hofu kwa timu ya wananchi View attachment 426736
View attachment 426734
Sawa wazee wa kununua magoli machache. Mnanunua kagoli kamoja kwa Mbao tena kagoli ka jioni. Sisi leo tumenunua matatu kuwaonyesha kuwa ni bora zaidi yenu
Vijana wa simba wameanza kuonyesha hofu kwa timu ya wananchi View attachment 426736
View attachment 426734
Vipi Kuhusu Ndanda FC si ulikuwa umpige Sita uoneshe Kama Mkodisho FC ni bora Kuliko Simba aliyewapiga Tatu??
mwenyew hapo umejiona mjanja...mafuta kweli wewe!inama
Malizia kwa kusema chefuuuuuu kama yule mwanaume mwenzenu wa Dar.mwenyew hapo umejiona mjanja...mafuta kweli wewe!
Hela ya kujengea uwanja mnaitka kupitia mgongo wa Kessy?Nyie Chaneta FC huyo Ramadhan Kessy Mutajuta Kumchezesha hata Kama Mwigulu amewatuma Mumchezeshe...
Na Kama Hamuamini Basi Subirini...
kwani Ana mkataba na simba?mbona hamkuweka pingamizi?kanuni hazipo hivyo.... Nikupe hapo mfano mbona Joel matip alisain Liverpool akiwa na mkataba na shalke04,kanuni za FIFA zinaruhusu mchezaji akibakisha miezi sits kufanya mazungumzo na timu nyingine.ndo maana yule raid wenu aliwaita mbumbumbuNyie Chaneta FC huyo Ramadhan Kessy Mutajuta Kumchezesha hata Kama Mwigulu amewatuma Mumchezeshe...
Na Kama Hamuamini Basi Subirini...
Hela ya kujengea uwanja mnaitka kupitia mgongo wa Kessy?
Hakuna mwenye jeuri ya kuipoka point Yanga mechi alizocheza Kessy. Sheria ile ile iliyomruhusu Okwi asiue kipaji ndiyo inamfanya Kessy acheze bila ajizi
K
kwani Ana mkataba na simba?mbona hamkuweka pingamizi?kanuni hazipo hivyo.... Nikupe hapo mfano mbona Joel matip alisain Liverpool akiwa na mkataba na shalke04,kanuni za FIFA zinaruhusu mchezaji akibakisha miezi sits kufanya mazungumzo na timu nyingine.ndo maana yule raid wenu aliwaita mbumbumbu
Mkuu, huyo Salehe mzushi sana. Alifanya watu wengi kuamini Rage kala hela za uhamisho wa Okwi. Baadaye wote tumeona haikuwa kweli.↑↑Aftet Few Days Musije Mukakimbia! Muje Humu JF mutupe Mrejesho Kuhusu Ramadhan Kessy↓↓