Kila mtu anaogopa na kuona aibu isimfie. Lakini ndio Mgonjwa yuko mahututi atakufa tuyaliyokuwa yakiogopwa na watangulizi wake ya CCM KUWAFIA MIKONONI yanaenda kutimia kwake?
Tumeona ongezeko la urudishaji wa kadi maeneo mbalimbali Mtwara , Tanga na kule kwa maasai ngorongoro
Awamu hii itakua ni anguko kwa CCM? aliendelea kuongoza?
Mama ameona liwalo na liwe bora arudishe Mpira kwapani.yaliyokuwa yakiogopwa na watangulizi wake ya CCM KUWAFIA MIKONONI yanaenda kutimia kwake?
Tumeona ongezeko la urudishaji wa kadi maeneo mbalimbali Mtwara , Tanga na kule kwa maasai ngorongoro
Awamu hii itakua ni anguko kwa CCM? aliendelea kuongoza?
Sheria na kanuni za uchaguzi zikirekebishwa ili uchaguzi kuanzia wa Serikali za mtaa mwakani, kura zipigwe bila figisu za wizi wizi,Yaliyokuwa yakiogopwa na watangulizi wake ya CCM KUWAFIA MIKONONI yanaenda kutimia kwake?
Tumeona ongezeko la urudishaji wa kadi maeneo mbalimbali Mtwara, Tanga na kule kwa Maasai Ngorongoro.
Awamu hii itakuwa ni anguko kwa CCM? Ataendelea kuongoza?
Wale jamaa walinishangaza SanaSheria na kanuni za uchaguzi zikirekebishwa ili uchaguzi kuanzia wa Serikali za mtaa mwakani, kura zipigwe bila figisu za wizi wizi,
Ccm itafuata mkondo ule ule wa Zapu, Kanu na vyama vingine kongwe vilivyoangukia pua na kuzikwa kwenye kaburi la sahau.
Maana yake kikiangushwa hata kwenye list ya vyama vya upinzani hakitaonekana milele!
Watu wapo radhi kuchagua andazi likishindanishwa na sura ya msisiem!
Tujaribu na chama pinzani, hasa ndiyo nia ya raia hivi sasa.Wale jamaa walinishangaza Sana
Japo ss tunataka Amani itawale sasa Ccm ikidondoka Chama gani kilichojiandaa kuchukua nchi
Kazi yangu kusoma comments na mijadala nikiwa hapa msola ni mm mtoto wa kitanzania !
Lowasa alifanya ule uchaguzi kuwa mgumu Sana....kwa Sasa bado Sana Kama usemavyo.Kama ilishindikana 2015,hii ngoma bado sana.
Lengo ni kuitoa Ccm madarakanikwa utulivu na amani au bora Ccm itoke madarakani wengine wajaribu mkuuTujaribu na chama pinzani, hasa ndiyo nia ya raia hivi sasa.
Wakitawala wataendesha vizuri sababu kama faulo nyingi wasizopenda raia wa Tz, wanazijua, na wao ndo'wanaozipigia kelele kwamba zitanzuliwe.
Baada ya miaka mitano ya kikatiba na wao wakileta ushenzi tunaridhia na kukiweka chama kingine hadi tutakapopata utulivu tunaoutaka waTz.
Kwanini tusijifunze Kenya ama Zambia, kwani demokrasia yao imewaletea madhara, kuwaondoa vyama kongwe vilivyokuwa vimejimilikisha utawala kama ilivyo Ccm?
Hakuna chama chenye hakimiliki ya kutawala milele.
Chama chochote chaweza kushika Dola mradi kipate ridhaa ya raia, siyo ridhaa kwa njia ya wizi wa kura kama wanavyofanya Ccm no.
Ccm wangelikuwa wanajali na kusikiliza kero za raia ambao ndiyo waajili wa Serikali hii, hakuna raia ambaye angeipinga Serikali ama Ccm kama inavyotokea hivi sasa.
Je kwa mfano Magufuli alivyotawala na kwenda na kero za wanyonge, ulionaje alivyokubalika na kukonga nyoyo za watu ?
Mpaka ukapatikana msemo wa: ... "chagua mtu usichague Chama".
Kwanini msingeenda na kasi yake?
Haya wewe msisiem tuambie, hauoni faulo zote zifanywazo na watawala wa Serikali yako pendwa katika awamu hii, ambazo ni rahisi sana kuzitanzua ili kuweza kutembea na imani na mioyo ya wananchi?
Usiniulize faulo gani, we'mwenyewe unazijua.
Kwanini watawala wameziba pamba masikioni?
Sababu ipo na dalili za dhahiri zimeshaonekana!
Wahenga walisema: "sikio la kufa halisikiagi dawa"
Chama chochote kitakachopewa ridhaa na wananchi kinaweza kuongoza nchi.Ata Tanu wakati wanaanza kuongoza nchi jawakuwao kuongoza nchi popote.Tuwe na chachu ya mabadiliko ili tuijenge nchi tunayoitaka sisi wenyewe.Wale jamaa walinishangaza Sana
Japo ss tunataka Amani itawale sasa Ccm ikidondoka Chama gani kilichojiandaa kuchukua nchi
Kazi yangu kusoma comments na mijadala nikiwa hapa msola ni mm mtoto wa kitanzania !
Ndiyo mfano wangu huo kuzitaja nchi hizo mbili kwa uchache ili iwe ni "shama darasa" kusoma na kujifunza mafanikio ya kidemokrasia ya vyama vingi kwa nchi za Afrika.Lengo ni kuitoa Ccm madarakanikwa utulivu na amani au bora Ccm itoke madarakani wengine wajaribu mkuu
Hapo naona kama Una hoja mbili au tatu mkuu
Kwangu tujifunze Kwa nchi zilizofanikiwa kwenye demokrasia na sio Kenya mara Zambia nk
Kisa Cha rich mavoko kujiona msanii na hakuna kwenye familia anamzidi sababu ndugu yake anaangaika mwisho wa siku ndugu yake Kawa meneja wake na kumuonesha usanii unafanywa hivi.Wale jamaa walinishangaza Sana
Japo ss tunataka Amani itawale sasa Ccm ikidondoka Chama gani kilichojiandaa kuchukua nchi
Kazi yangu kusoma comments na mijadala nikiwa hapa msola ni mm mtoto wa kitanzania !
Sasa vyote hivyo ndivyo vinatakiwa kupigwa biti katika marekebisho ya sheria za uchaguzi kabla ya uchaguzi unaokuja, kuanzia wa serikali za mtaa wa mwakani.ccm uwa haitegemei kura za watu mzee.nec yao,polisi wao,walimu wao.wakurugenzi wao n.k n.k.
Umeongea vizuri, ila ndugu yangu kwa chadema hii ya mbowe na lissu nakuapia haifai kuiweka madarakani hata kwa mwezi mmoja......wabinafsi, wajuaji na watemi mno kuweza kumjali na kumsikiliza yeyote yule. Siku zao kumi za kwanza madarakani zirakuwa za kubadili kila kitu ili waweze kuwepo zaidi madarakani......ref. katiba ya chama chao na mwenendo wa lissu. Kuelewa hili hauhitaji hata jicho la tatu, la kwanza tu linakuonesha kila kitu.Tujaribu na chama pinzani, hasa ndiyo nia ya raia hivi sasa.
Wakitawala wataendesha vizuri sababu kama faulo nyingi wasizopenda raia wa Tz, wanazijua, na wao ndo'wanaozipigia kelele kwamba zitanzuliwe.
Baada ya miaka mitano ya kikatiba na wao wakileta ushenzi tunaridhia na kukiweka chama kingine hadi tutakapopata utulivu tunaoutaka waTz.
Kwanini tusijifunze Kenya ama Zambia, kwani demokrasia yao imewaletea madhara, kuwaondoa vyama kongwe vilivyokuwa vimejimilikisha utawala kama ilivyo Ccm?
Hakuna chama chenye hakimiliki ya kutawala milele.
Chama chochote chaweza kushika Dola mradi kipate ridhaa ya raia, siyo ridhaa kwa njia ya wizi wa kura kama wanavyofanya Ccm no.
Ccm wangelikuwa wanajali na kusikiliza kero za raia ambao ndiyo waajili wa Serikali hii, hakuna raia ambaye angeipinga Serikali ama Ccm kama inavyotokea hivi sasa.
Je kwa mfano Magufuli alivyotawala na kwenda na kero za wanyonge, ulionaje alivyokubalika na kukonga nyoyo za watu ?
Mpaka ukapatikana msemo wa: ... "chagua mtu usichague Chama".
Kwanini msingeenda na kasi yake?
Haya wewe msisiem tuambie, hauoni faulo zote zifanywazo na watawala wa Serikali yako pendwa katika awamu hii, ambazo ni rahisi sana kuzitanzua ili kuweza kutembea na imani na mioyo ya wananchi?
Usiniulize faulo gani, we'mwenyewe unazijua.
Kwanini watawala wameziba pamba masikioni?
Sababu ipo na dalili za dhahiri zimeshaonekana!
Wahenga walisema: "sikio la kufa halisikiagi dawa"
Baba yake raisi wakenta aliestafu hivi karibuni alikuwa chama gani na mtoto wake anestaafu Kwa chama gani?Tujaribu na chama pinzani, hasa ndiyo nia ya raia hivi sasa.
Wakitawala wataendesha vizuri sababu kama faulo nyingi wasizopenda raia wa Tz, wanazijua, na wao ndo'wanaozipigia kelele kwamba zitanzuliwe.
Baada ya miaka mitano ya kikatiba na wao wakileta ushenzi tunaridhia na kukiweka chama kingine hadi tutakapopata utulivu tunaoutaka waTz.
Kwanini tusijifunze Kenya ama Zambia, kwani demokrasia yao imewaletea madhara, kuwaondoa vyama kongwe vilivyokuwa vimejimilikisha utawala kama ilivyo Ccm?
Hakuna chama chenye hakimiliki ya kutawala milele.
Chama chochote chaweza kushika Dola mradi kipate ridhaa ya raia, siyo ridhaa kwa njia ya wizi wa kura kama wanavyofanya Ccm no.
Ccm wangelikuwa wanajali na kusikiliza kero za raia ambao ndiyo waajili wa Serikali hii, hakuna raia ambaye angeipinga Serikali ama Ccm kama inavyotokea hivi sasa.
Je kwa mfano Magufuli alivyotawala na kwenda na kero za wanyonge, ulionaje alivyokubalika na kukonga nyoyo za watu ?
Mpaka ukapatikana msemo wa: ... "chagua mtu usichague Chama".
Kwanini msingeenda na kasi yake?
Haya wewe msisiem tuambie, hauoni faulo zote zifanywazo na watawala wa Serikali yako pendwa katika awamu hii, ambazo ni rahisi sana kuzitanzua ili kuweza kutembea na imani na mioyo ya wananchi?
Usiniulize faulo gani, we'mwenyewe unazijua.
Kwanini watawala wameziba pamba masikioni?
Sababu ipo na dalili za dhahiri zimeshaonekana!
Wahenga walisema: "sikio la kufa halisikiagi dawa"
pia tujiulize ni kweli wananchi wengi hawahitaki ccm?Sasa vyote hivyo ndivyo vinatakiwa kupigwa biti katika marekebisho ya sheria za uchaguzi kabla ya uchaguzi unaokuja, kuanzia wa serikali za mtaa wa mwakani.
Fuatilia mkutano wa viongozi wa vyama vya siasa na wadau.