Yaliyokuwa yakiogopwa na watangulizi wake CCM kuwafia mikononi yanaenda kutimia kwake?


Magufuli alikuwa Kiongozi wa hovyo kuliko wote katika nchi hii.

Narudia wa hovyo sanaa.
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ilishindikana 2015,hii ngoma bado sana.
Nini lengo la wapinzani?
Unaadhani wataondoa huu unasikini wa watanzania?
Hizo nchi zilizobadili uongozi je zimeedelea kuliko TANZANIA?
Nijuavyo mimi, serikali za upinzani barani Afrika hazijaonesha tofauti yoyote ya kiutawala na kiuchumi barani Afrika mifano ni mingi
Nigeria
Kenya
Zambia
Malawi
Hizi nchi mpaka sasa ni nchi zinazotegemea misaada, na hazina tofauti yoyote ya maana na nchi zenye serikali ya chama kongwe. Watu wana hamu tu upinzani ila wapinzani hawana mbinu zozote za maana za kubadili uchumi.
Naamini maendrlto ya Aftoka yataletwa na waafrika wala si kunfi la watu wanaoongoza bali watu wote.
Mimi si mwanachama wa chama chochote .
 
Hiyo chadema iliwai kuongoza nchi gani ili uje na hitimisho lako kua haifai?.Hakuna kinachofaa hadi kifanywe kifae.
 
Baba yake raisi wakenta aliestafu hivi karibuni alikuwa chama gani na mtoto wake anestaafu Kwa chama gani?
Baba yake alikuwa KANU na mtoto wake kastaafu kwa chama kingine(nimesahau jina la chama).
Katika maelezo yangu ilikuwa ni kuonesha kwamba si lazima "kuburuzwa" katika maamuzi kwenye uchaguzi.
Watu mwaweza kuchagua chama chochote na mambo yakaenda.
 
Hiyo chadema iliwai kuongoza nchi gani ili uje na hitimisho lako kua haifai?.Hakuna kinachofaa hadi kifanywe kifae.
Dalili ya mvua ni mawingu jombaa, nimesema hapo kuwa rejea tu ufuataji wa katiba yao na mwenendo mzima wa huyo muheshimiwa mwenye kujua sheria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…