Yaliyokuwa yanafanyika Uganda wakati wa utawa wa Idd Amini ndiyo tunayaona sasa

Yaliyokuwa yanafanyika Uganda wakati wa utawa wa Idd Amini ndiyo tunayaona sasa

cumbamalema

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2024
Posts
366
Reaction score
820
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani. Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa
Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
Kosa kubwa ni kuifanya siasa kua ajira maalum...watu wako tayari kwa lolote,mkono uende kinywani
 
Hata hayo magenge ya kihalifu tunayoyasikia huko Haiti (akina Berbeque), yalianza hivihivi. Na kwa kuwa hayakudhibitiwa, hatimaye yalimuua PM wao. Leo yanasumbua kanchi hako masikini. Tusiombe kufikishwa huko Watanzania..!!!
 
Halafu huyo kiongozi mkuu anatoka ile dini ya mwanyazimungu ambayo kutwa kucha wanaisifu ni dini ya haki na amani.
Dini na imani ni vitu viwili tofauti,misingi ya imani ya kiisilamu ni mizuri sana tena inafaida kwa muhusika,kwa mfano kutokunywa pombe hata kutoa uhai wa mtu ni kosa kubwa sana,Uisilamu unasema ukimuuwa mtu mmoja sawa na umewauwa dunia nzima maana umekatiza kizazi cha muhusika
Lakini leo hii baadhi ya viongozi tena wa Bakwata wako mstari wa mbele kuunga mkono dhuruma za waziwazi mfano uchaguzi uliopita tofauti na wa upande wa pili wa Ukristo wamekuwa wakizipinga hizi dhuruma kwa uwazi bila kificho
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
Iddi mlimsingizia tu kwa sababu akijenga miskiti. Jee Musseven wapinzani wake wanakula bata?
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
Mwendo wa mto kagera.
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
Nadhani yote ni yaleyale bali huenda na kurejea kila wakati
 
Kuna yule msaidiz wa Idd amini nimesahau jina, nikama huyu bashite huku, alikua hatari inasemekana hata idd amini alikua anamhofia
Huyo ni Malyamungu, na kweli ni kama Bashite tuu. Amefanya mambo mengi ya hovyo lakini ndiye anasifiwa eti ni mchapa kazi,mbunifu na anasingiziwa. Ndio maana sasa kila kiongozi anataka kufanya uovu maana hakuna la kumfanya.
Ila Watanzania sasa wanajiuliza hivi kweli kuwa hata KE nao ni hatari namna hii au yupo yupo tuu na hajui nini kinaendelea?
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
MAHAYAWANI wamekalia madaraka, ni mwendo wa kuwindana tu kama SWALA na kuchinjwa. CCM ni hatari sana.
 
Swali la kizushi: Hivi kati awamu ya tano na awamu ya sita ipi imeongoza kwa ukatili na umwagaji wa damu?
 
Nimeamini kuishi kwingi ni kuona mengi, hivi hii ndiyo Tanzania ya nyerere tuliyokuwa tunawalaani watawala madikteta popote pale duniani.

Tulikuwa na jirani yetu akiitwa Iddi Amini dada, akifanya haya yote tunayoyashuhudia tulimuona kama mnyama asiyekuwa na utu hata kidogo lakini leo hii tunayashuhudia yakifanywa ndani ya inchi yetu tena kweupe na hakuna anayekamatwa wala aliyewahi kukamatwa

Niseme kwamba hakuna utawala uliyoyatenda haya na ukadumu madarakani ni suala la muda tu, sababu watu wengi hawapendezwi hata kama wahanga wakubwa ni wa vyama vya upinzani hata CCM wenyewe wengi hawapendi maana sisi sote ni ndugu tofauti zetu za kisiasa zisitufanye tufikie huku tuliko
Kawaida mkiwa na kiongozi mwenye uwezo mdogo sana wa kufikiri na kutenda, haya huwa hayaepukiki. Idd Amin alikuwa mjinga sana na sasa tunaye Amin wa kike kwetu
 
Back
Top Bottom