Yaliyomkuta dereva wa boss huko Dodoma

Yaliyomkuta dereva wa boss huko Dodoma

mwambie aache uzinzi hayo hayatampata tena maishani mwake.
 
He he he! Umenikumbusha mbali. Na mimi niliwahi kuibua ka mrembo pale kwenye pantoni nikawa naongozana nako huku tunatembea kuelekea Posta. Cha ajabu watu walikuwa wanatuangalia sana. Sasa nikashindwa kujua tulikuwa tumependeza au watazamaji walikuwa wananihurumia kuwa nimekwaa kisiki...
 
Ni rafiki yangu, alienda dodoma kikazi,baada ya mizunguko ya kiofisi akarudi gesti alikofikia, mida ya jioni akateremka kwenye baa ambayo iko jengo moja na gesti aliyofikia ili apate mlo wa jioni na kinywaji,
wakati akipata kinywaji alimwona binti mrembo akiwa amekaa peke yake kwenye meza ya pembeni kwa muda mrefu huku akiwa hana kinywaji chochote,hulka ya kianaume ikamjia akaamua kumtokea na kumuuliza kama wanaweza kuwa wote.
bila hiyana binti akajibu kuwa haina tatizo,basi wakajumuika wote kwenye chakula na kinywaji, ajabu moja aliyoona jamaa ni kuwa watu waliokuwa kwenye baa walikuwa wakimwangalia sana, kwaajili ya kinywaji kumkolea hakujali, hisia zake zilimtuma kuwa watu walimwangalia vile kwa sababu ya kitu alichoibua kwani si cha kawaida,
baada ya kutosheka wakaelekea chumbani kwa jamaa yangu,wakajimwagia maji na kulala,jamaa hakumchelewesha akaanzisha mchezo,mambo yalipoanza kunoga yule bidada akaanza kushusha haja kubwa ya nguvu kitandani,
jamaa pombe zikamtoka akaamua kumtimua usiku uleule. badae wahudumu wakamwambia kwamba huyo mdada si timamu sana huwa zinaingia na kutoka,jamaa yangu ameapa kwamba ikitokea akasafiri ni afadhali ambebe waifu wake kuliko kuvamia wanawake asiowajua.
hizi tamaa za ngono zitapelekea kutokea hata majini. ingekuwa raha Zaidi huyu binti angetoa haja kubwa usoni kwa jamaa akiwa usingzini.
 
hahahah hii imeniacha hoi haswaa!! ila mtoa mada utakuwa ni ww mwenyewe mana km ni jamaa ako asingekuhadithia asee
 
He he he! Umenikumbusha mbali. Na mimi niliwahi kuibua ka mrembo pale kwenye pantoni nikawa naongozana nako huku tunatembea kuelekea Posta. Cha ajabu watu walikuwa wanatuangalia sana. Sasa nikashindwa kujua tulikuwa tumependeza au watazamaji walikuwa wananihurumia kuwa nimekwaa kisiki...
Mwisho wenu ukawaje
 
He he he! Umenikumbusha mbali. Na mimi niliwahi kuibua ka mrembo pale kwenye pantoni nikawa naongozana nako huku tunatembea kuelekea Posta. Cha ajabu watu walikuwa wanatuangalia sana. Sasa nikashindwa kujua tulikuwa tumependeza au watazamaji walikuwa wananihurumia kuwa nimekwaa kisiki...
Mkuu watu ni wabaya sana yaani hawezi jitokeza hata kukutonya kidogo. Na mimi ilishawahi kunitokea sehemu fulani kipindi bado mgeni. Nikiwa bar nikamuona demu mkali nikajisogeza kwake tukapiga kinywaji na nyama wakati huo watu wananicheki wanatabasamu tu. Mi nikidhani wamenikubali jinsi nilivyodaka kifaa kumbe najipeleka motoni.
 
Ni rafiki yangu, alienda Dodoma kikazi,baada ya mizunguko ya kiofisi akarudi gesti alikofikia, mida ya jioni akateremka kwenye baa ambayo iko jengo moja na gesti aliyofikia ili apate mlo wa jioni na kinywaji.

Wakati akipata kinywaji alimwona binti mrembo akiwa amekaa peke yake kwenye meza ya pembeni kwa muda mrefu huku akiwa hana kinywaji chochote,hulka ya kianaume ikamjia akaamua kumtokea na kumuuliza kama wanaweza kuwa wote.

Bila hiyana binti akajibu kuwa haina tatizo,basi wakajumuika wote kwenye chakula na kinywaji, ajabu moja aliyoona jamaa ni kuwa watu waliokuwa kwenye baa walikuwa wakimwangalia sana, kwaajili ya kinywaji kumkolea hakujali, hisia zake zilimtuma kuwa watu walimwangalia vile kwa sababu ya kitu alichoibua kwani si cha kawaida.

Baada ya kutosheka wakaelekea chumbani kwa jamaa yangu,wakajimwagia maji na kulala,jamaa hakumchelewesha akaanzisha mchezo,mambo yalipoanza kunoga yule bidada akaanza kushusha haja kubwa ya nguvu kitandani,
jamaa pombe zikamtoka akaamua kumtimua usiku uleule.

Baadae wahudumu wakamwambia kwamba huyo mdada si timamu sana huwa zinaingia na kutoka,jamaa yangu ameapa kwamba ikitokea akasafiri ni afadhali ambebe mke wake kuliko kuvamia wanawake asiowajua.

Uhusiano wa mtu asiye na akili timamu na kushusha mzigo wakati wa mechi ni hafifu sana, kwanza kama hiyo siku zilifyatuka ungemkuta amekaa ki hasara na wala usinge dhani kuwa watu wanakushangaa kwa sababu umeibua kifaa, ukweli ni kuwa huyo amefumuliwa marinda zote na hana hata chembe ya sphincter muscles zilizo baki salama
 
Ni rafiki yangu, alienda Dodoma kikazi,baada ya mizunguko ya kiofisi akarudi gesti alikofikia, mida ya jioni akateremka kwenye baa ambayo iko jengo moja na gesti aliyofikia ili apate mlo wa jioni na kinywaji.

Wakati akipata kinywaji alimwona binti mrembo akiwa amekaa peke yake kwenye meza ya pembeni kwa muda mrefu huku akiwa hana kinywaji chochote,hulka ya kianaume ikamjia akaamua kumtokea na kumuuliza kama wanaweza kuwa wote.

Bila hiyana binti akajibu kuwa haina tatizo,basi wakajumuika wote kwenye chakula na kinywaji, ajabu moja aliyoona jamaa ni kuwa watu waliokuwa kwenye baa walikuwa wakimwangalia sana, kwaajili ya kinywaji kumkolea hakujali, hisia zake zilimtuma kuwa watu walimwangalia vile kwa sababu ya kitu alichoibua kwani si cha kawaida.

Baada ya kutosheka wakaelekea chumbani kwa jamaa yangu,wakajimwagia maji na kulala,jamaa hakumchelewesha akaanzisha mchezo,mambo yalipoanza kunoga yule bidada akaanza kushusha haja kubwa ya nguvu kitandani,
jamaa pombe zikamtoka akaamua kumtimua usiku uleule.

Baadae wahudumu wakamwambia kwamba huyo mdada si timamu sana huwa zinaingia na kutoka,jamaa yangu ameapa kwamba ikitokea akasafiri ni afadhali ambebe mke wake kuliko kuvamia wanawake asiowajua.
Ndio maana tunapigania hii biashara itambulike na wavae vitambulisho. Mh JPM tumbua hili jipu la machangudoa hewa, Limegharimu mtu kunyh1wa na wengine kuibiwa.
 
Mtoa mada bwn sijui yuko group lipi yaani kumpiga umpige ww, alafu uwahi police ,wana Jf kazi kwenu,
 
Ni rafiki yangu, alienda Dodoma kikazi,baada ya mizunguko ya kiofisi akarudi gesti alikofikia, mida ya jioni akateremka kwenye baa ambayo iko jengo moja na gesti aliyofikia ili apate mlo wa jioni na kinywaji.

Wakati akipata kinywaji alimwona binti mrembo akiwa amekaa peke yake kwenye meza ya pembeni kwa muda mrefu huku akiwa hana kinywaji chochote,hulka ya kianaume ikamjia akaamua kumtokea na kumuuliza kama wanaweza kuwa wote.

Bila hiyana binti akajibu kuwa haina tatizo,basi wakajumuika wote kwenye chakula na kinywaji, ajabu moja aliyoona jamaa ni kuwa watu waliokuwa kwenye baa walikuwa wakimwangalia sana, kwaajili ya kinywaji kumkolea hakujali, hisia zake zilimtuma kuwa watu walimwangalia vile kwa sababu ya kitu alichoibua kwani si cha kawaida.

Baada ya kutosheka wakaelekea chumbani kwa jamaa yangu,wakajimwagia maji na kulala,jamaa hakumchelewesha akaanzisha mchezo,mambo yalipoanza kunoga yule bidada akaanza kushusha haja kubwa ya nguvu kitandani,
jamaa pombe zikamtoka akaamua kumtimua usiku uleule.

Baadae wahudumu wakamwambia kwamba huyo mdada si timamu sana huwa zinaingia na kutoka,jamaa yangu ameapa kwamba ikitokea akasafiri ni afadhali ambebe mke wake kuliko kuvamia wanawake asiowajua.
Weekend yangu ishaanza vyema ha ha haaaa wanaume na sie kwa kuzoa zoa hatujambo
 
Back
Top Bottom