love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Alikwa Dictator UchwaraHalafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
Halafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
Licha ya msamaha wa Ndugai bado mama akachinjia baharini.Halafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
But not....Alikwa Dictator Uchwara
Tuambie alifanywaje?Unajua alichofanywa Kanali Kinana hadi akafikia kuongea yale?
Hata kama ni mbabe kiasi gani kuna mahali huwa ni pagumu mno kupashughulikia. Uraisi haukupi nguvu isiyo na kipimo.Halafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
Anaweza wafanya nini sasa kina Kinana? Zaidi ya wao kumfanya walichomfanya! Mbwa wamfuge wenyewe halaf awabwekee... Ingekuwa hata wewe ungemfanyaje huyo mbwa?Halafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
Kazi kweli kweli.Anaweza wafanya nini sasa kina Kinana? Zaidi ya wao kumfanya walichomfanya! Mbwa wamfuge wenyewe halaf awabwekee... Ingekuwa hata wewe ungemfanyaje huyo mbwa?
Angekua dikteta kweli asingekosa cha kuwafanya. Dikteta kuna mtu atamshinda? Soma historia za madikteta uoneAnaweza wafanya nini sasa kina Kinana? Zaidi ya wao kumfanya walichomfanya! Mbwa wamfuge wenyewe halaf awabwekee... Ingekuwa hata wewe ungemfanyaje huyo mbwa?
Ndio Magu dicteta, msiwe machiz. Ni mara mia afadhali Samia mana yeye anakunanga hadharani, ila Magu alikuwa atumia wasiojulikana kitakachokupata utajijua....Halafu watu bila aibu wanamwita magu dikteta. Kuna dikteta angeiacha ile hali? Mnajua madikteta mnawasikia?
Yule ni dikteta uchwaraAngekua dikteta kweli asingekosa cha kuwafanya. Dikteta kuna mtu atamshinda? Soma historia za madikteta uone
Kucheka na maadui matokeo yake ndo kulazwa standard chartered Bank of Europe Asia AmericaNawaza tu kama spika ameongea tena hadharani,
akiwa katika mhimili unaoruhusu kufanya ivo.
Je Samia angewafanya nini Nape, January, Kinana nk.
ndani ya chama kwa sauti zilizovuja wakiunanga utawala wake kwa mfano?
Lakini wahenga si walisema kumchinja kobe inahitaji timing.Kucheka na maadui matokeo yake ndo kulazwa standard chartered Bank of Europe Asia America