ChaterMaster
JF-Expert Member
- Aug 17, 2009
- 1,623
- 803
Hii mbaya sana K vant ikikata unakuta umepumzika na mtu mwili unamadowa kama anazimiwa sigara.
Hv yale madoa yanasababishwa na nnHii mbaya sana K vant ikikata unakuta umepumzika na mtu mwili unamadowa kama anazimiwa sigara.
Sometimes mikorogo yao Ile au unakuta kashawahi kuugua tetekuwanga.Hv yale madoa yanasababishwa na nn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hatariHongera sana kipenseli. Ngoja tukusifu kwa ujasiri wako maana muda si mrefu tutakubembeleza kunywa uji wenye limao ukiwa hospitalini.
Kweli mkuu kabisaWadau wa badoo jamani sii tu-organize basi orgy tupate burudani
Itabidi tufanye mkakati mzeyaKweli mkuu kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sometimes mikorogo yao Ile au unakuta kashawahi kuugua tetekuwanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hongera sana kipenseli. Ngoja tukusifu kwa ujasiri wako maana muda si mrefu tutakubembeleza kunywa uji wenye limao ukiwa hospitalini.
Mtu analala na wanaume zaidi ya 6 kwa siku dah ila inahitaji moyo sana kufanya hiviKimsingi kama una akili ya kibinadamu na huongozwi na pepo la Ngono. Huwezi nunua hao wanawake. Katika ujana wangu kabla Mungu hajaniokoa nilitumikishwa sana na Pepo la Ngono na kununua hao watu ila kuna siku nilijisikia vibaya. Morogoro niliendaga Chimbo Moja nikakuta Mama ana katoto kachanga. Amekalaza kitandani alafu anataka anihudumie. Nikasema hata kama nina pepo la ngono ila siwezi fanya hivi. Hii ni kumbukumbu mbaya zaidi katika maisha yangu. Mungu atusaidie kwa kweli. Kwa jinsi ya kibinadamu, huwezi nunua wale watu ila ni pepo la ngono ndio huwa linatumikisha.
Sio mapepo ni hali ya kiuchumi ilivyo, mtu anaona afanye ili apate pesa , ingekua ni swala la mapepo basi anaejiuza ni lazima wangekua na uwezo fulani then anataka kujiuzaSio wao bro. Ni Mapepo yanawatumikisha. Kwa hali na akili ya kawaida huwezi fanya huo upuuzi. Mungu atusaidie kwa kweli.
Hi biashara ipo toka enzi za manabii na wao walishindwa kuitoaHii vita ya kupambana na dadapoa hata serikali ilishashindwa hahahha
Na inafanywa kwasababu ya umasikini sio mapepo kama wengi wanavyodhani, wengi wanafanya kujiingizia kipatoHi biashara ipo toka enzi za manabii na wao walishindwa kuitoa
Sio sahihi. Kuna njia nyingi za kutafuta pesa sio mpaka kujiuza. Wengine hawana uchumi mzuri na wanauza hadi mihogo, ndizi na kulinda utu wao. Kimsingi kwa mwanaume na mwanamke. Kama huna pepo la ngono na ukahaba huwezi fanya hivyo vitu. Sio kujiuza wale kununua. Bro tumepita huko. Tulikuwa tunanunua ila sasa unaweza hivi nilikuwa nafanya nini?Na inafanywa kwasababu ya umasikini sio mapepo kama wengi wanavyodhani, wengi wanafanya kujiingizia kipato
Tetekuwanga au mkanda wa jeshi hayo kwa asilimia kubwa hutokea endapo kinga imepungua.Hv yale madoa yanasababishwa na nn
Unajitetea ujingaIna shida gani mkuu? Tatizo vijana wengi hamjui K inanyonywa vp.. shida inaanzia hapo
Mbona hoja ya jamaa umeiua kiwepesi sana.Sio mapepo ni hali ya kiuchumi ilivyo, mtu anaona afanye ili apate pesa , ingekua ni swala la mapepo basi anaejiuza ni lazima wangekua na uwezo fulani then anataka kujiuza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Suluhisho la hali hii ni kwenda umezima data kabisa umepiga zako k-vant