Yaliyonikuta baada ya kumsaidia rafiki yangu mwenye degree

Yaliyonikuta baada ya kumsaidia rafiki yangu mwenye degree

Daah pole mie kisa changu ni chakichawi .
Nimeamini marafiki nimewasaidia hadi na sasa sijaolewa , sijafika nitakako kisa wao mtu anakuchukulia nyota yako ili aolewe ,ili awe na biashara kubwa na nzuri , ili aende kufanikisha kila atakalo yeye anakiacha huna mbele wala nyuma unakwama hadi unatafuta wanaume mitandaoni na huku mimi sikuwa napendwa na watu hoi hoi ni vifaa kweli .
So maisha ndio hayoo . Niliewekewa kizuzi nisiolewe , nisiwe naufahamu wakuwa umri unasonga .

Walahi saivi siitaji marafiki kwasasa hujui adhari zao hadi ukwame ndio ujue .

Kazi nilikuwa napata haraka sana napendwa nakuaminika .

Ee mola niepushe na hao marafiki sitaji marafiki .
Walahi
Umeishapata wa kukuowa
 
Back
Top Bottom