BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Ni Ndogo?...Sasa Mkuu 520k ndo unalalamika hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...Ni Ndogo?...Sasa Mkuu 520k ndo unalalamika hivyo
Umeishapata wa kukuowaDaah pole mie kisa changu ni chakichawi .
Nimeamini marafiki nimewasaidia hadi na sasa sijaolewa , sijafika nitakako kisa wao mtu anakuchukulia nyota yako ili aolewe ,ili awe na biashara kubwa na nzuri , ili aende kufanikisha kila atakalo yeye anakiacha huna mbele wala nyuma unakwama hadi unatafuta wanaume mitandaoni na huku mimi sikuwa napendwa na watu hoi hoi ni vifaa kweli .
So maisha ndio hayoo . Niliewekewa kizuzi nisiolewe , nisiwe naufahamu wakuwa umri unasonga .
Walahi saivi siitaji marafiki kwasasa hujui adhari zao hadi ukwame ndio ujue .
Kazi nilikuwa napata haraka sana napendwa nakuaminika .
Ee mola niepushe na hao marafiki sitaji marafiki .
Walahi
Unataka kunioa ??Umeishapata wa kukuowa
HapanaUnataka kunioa ??