Yaliyonikuta baada ya kumsaidia rafiki yangu mwenye degree

Huyo jamaa angepata kamtego ili umpeleke polisi akakae Kwanza hata asipokulipa ila awe ashashikwa shikwa wezere na manyapara akitoka atakuwa kajifunza
 
Niiliwaho kuhifadhiwa nyumbn Kwa family friend. Tatizo langu ni totoz mule ndani nimekula watoto wa kike mmpaka Shemeji nimemla. Mchana beki tatu nimekula. Majirani watoto wa kike kula wote. Siibi hata mia mie
Aisee nmencheka kama mwehu
 
Huyo mwamba ameanza mademu hata hio 150000 ya mzee anaumwa kaongezea kumnunulia demu simu
 
Mimi nlimfukuza mdogo wangu kabisa kama nlikosea acha iwe hivyo
Mdogo wako ungeona namna ya kumrekebisha,umpe msingi kwanza halafu umuondoe,otherwise itakua imewajengea bifu na tambua ndo msaada wako huyo,kwako na kwa ndugu zako kama vile watoto,endapo ukitangulia kabla yake.
 
Mdogo wako ungeona namna ya kumrekebisha,umpe msingi kwanza halafu umuondoe,otherwise itakua imewajengea bifu na tambua ndo msaada wako huyo,kwako na kwa ndugu zako kama vile watoto,endapo ukitangulia kabla yake.
Nikiweka kisa hapa utakubaliana na maamuzi nliyofanya sababu nlimpa nafasi nyingi abadilike lakini haikua hivyo
 
Huyo kijana alikua anadokoa kama panya, hali akamaliza ilani lazima akutie hasara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na iyo posho ya sensa tena ya masimango kila uchwao!Watu wenye dharau huku hamna kitu mnakera kweli.Ingekuwa 500k ndogo kwanini uko kwenye KAZI uchara iyo ya Anne makinda?sent zenu hampati Hadi mgome.Acha dharau bro
Nilimuunganihsia Dem Wangu hii kazi ya senasa penz kikapeperuka sijui senisa Ina gundu gani?

Sijui ameona nimemuingiza Cha kiume? Maana si kunchunia huku. Hiyo laki 5 ya senisa jamani tuambiane inamanyanyaso yepi?
 
Niiliwaho kuhifadhiwa nyumbn Kwa family friend. Tatizo langu ni totoz mule ndani nimekula watoto wa kike mmpaka Shemeji nimemla. Mchana beki tatu nimekula. Majirani watoto wa kike kula wote. Siibi hata mia mie
Legend [emoji16]

Hujawahi dakwa ?

Hawakujuana kweli unawatafuna ukasababisha conflict of interest ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…