Yaliyonikuta jana!!

Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Unachosimulia kinaendana na kisa kilichomkumba 'mtu wangu mmoja'. Yeye tulikua naye mjink, mimi nikawa nimekaa grocery, nakunywa huko mwanza, mtaa wa ghana. Yeye akaniambia kuna nguo anahitaji kununua. Akaenda duka la nguo lipo jirani na hiyo grocery, kuingia akamkuta dada amevaa dizaini kama huyo na macho kama hayo unayoyasema na yanang'aa sana. Akaogopa akaondoka dukani kwa woga, alipotoka tu akakutana na muuzaji mwingine wa hilo hilo duka, lakini huyu ni wanaume. Akamsihi arudi anunue wala asiogope. Basi kiuoga akanunua hiyo nguo. Huku huyo mwanamke mwenye macho paka ndio muuzaji. Aliporudi nilipo, kunisimulia nikamwambia hiyo nguo itupe.

Nadhani ni 'utaalamu' wa kibiashara.
Mie nisinge rudi ningemwambia siku nyingine
 
Unachosimulia kinaendana na kisa kilichomkumba 'mtu wangu mmoja'. Yeye tulikua naye mjink, mimi nikawa nimekaa grocery, nakunywa huko mwanza, mtaa wa ghana. Yeye akaniambia kuna nguo anahitaji kununua. Akaenda duka la nguo lipo jirani na hiyo grocery, kuingia akamkuta dada amevaa dizaini kama huyo na macho kama hayo unayoyasema na yanang'aa sana. Akaogopa akaondoka dukani kwa woga, alipotoka tu akakutana na muuzaji mwingine wa hilo hilo duka, lakini huyu ni wanaume. Akamsihi arudi anunue wala asiogope. Basi kiuoga akanunua hiyo nguo. Huku huyo mwanamke mwenye macho paka ndio muuzaji. Aliporudi nilipo, kunisimulia nikamwambia hiyo nguo itupe.

Nadhani ni 'utaalamu' wa kibiashara.
Aiseee...litakua ndio linavutia wateja pale..na bora ulivyomshauri atupe
 
We unavyohisi huyu alikutana na jini kwa mujibu wa Maelezo yake?
Na je kuna uwezekano wa kukutana na jini mchana?

Uwezekano wa kukutana na jini ni mkubwa sana hasa kwa wale wanaoishi jirani na vyanzo vya elements ambazo zinpatikana kwa wingi kama maji,moto,upepo,udongo hivyo kwa wale wenye kukaa jirani au mkoa wenye mazingira haya basi asilimia za kukutana na majini ni kubwa kwa sababu wao hutumia elements hizi kuishi na hasa sehemu za starehe of cause hicho kiumbe alichokutata nacho kwa maelezo yake ni jini ila kama kaongea kujifurahisha basi kapatia ishara ndogo nimshauri next time akumbuke kuangalia viatu anavyovaa huyo kiumbe ili awezee kujua na aina za viatu, pia yeye yule jini ndo alitaka huyu dogo amuone ndio maana akapigwa kikumbo, angetaja na juma alilokutana ne ningemwambia ni juma gani anaweza tena kuonana nae

Bofya hapa kupata kidogo kihusu viumbe hawa Rakims Spiritual

Rakims
 
Uwezekano wa kukutana na jini ni mkubwa sana hasa kwa wale wanaoishi jirani na vyanzo vya elements ambazo zinpatikana kwa wingi kama maji,moto,upepo,udongo hivyo kwa wale wenye kukaa jirani au mkoa wenye mazingira haya basi asilimia za kukutana na majini ni kubwa kwa sababu wao hutumia elements hizi kuishi na hasa sehemu za starehe of cause hicho kiumbe alichokutata nacho kwa maelezo yake ni jini ila kama kaongea kujifurahisha basi kapatia ishara ndogo nimshauri next time akumbuke kuangalia viatu anavyovaa huyo kiumbe ili awezee kujua na aina za viatu, pia yeye yule jini ndo alitaka huyu dogo amuone ndio maana akapigwa kikumbo, angetaja na juma alilokutana ne ningemwambia ni juma gani anaweza tena kuonana nae

Bofya hapa kupata kidogo kihusu viumbe hawa Rakims Spiritual

Rakims
We yna4 njoo hapa
 
Mm nakumbuka tulienda Bahari beach kuogelea maeneo ya Tegeta katikati ya kibaoni na kwa ndevu ndio unakutana na Bahari beach basi tulivyotoka kwenye maji tukaenda kucheza mchezo wa kujichimbia kwenye michanga pembeni yetu ghafla tukaona mkaka mzuri amevaa nguo nyeupe t-shirt mpaka suruali yuko peku hana kitu chochote amesimama anatuangalia sisi tuakendelea kucheza baada kama ya dkk 1 akawa haonekani na maeneo ya beach kama mtu anatembea lazima utamuona umbali mrefu tukaanza kuogopa ghafla tunaona wakaka wengine wanakimbia wameshika nguo mkononi ikabid na sisi tutoke nduki kuelekea maeneo ya nyumba na vipensi vyetu tukafika mbele tukavaa nguo tukaenda mpaka kwenye kituo cha pikipiki tukamuuliza mmojawapo akasema nasikia watu wanasemaga huwa kuna jini la kiume toka siku hiyo sijaenda bahari beach tukahamia Mahaba beach ya BOKO.
Ungempigia simu mr jr aje azichape nalo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom