Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Biashara ya magari inabidi uwe na roho mbaya...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenifanye nicheke kwenye gari.Haya nimetulia sasa niwaambie yaliyonikuta kwenye biashara ya daladala🤣basi baada yakuona dereva na konda wake wananizingua sikuhiyo nikaamua niingie mzigoni mwenyewe nikae mlangoni nikusanye hela nione mpaka jion gari itakufa nini au tutapata shilingi ngap ✍️
Jioni dereva kaleta gari nikamwambia kesho tunaamsha wote mwambie kondawako apumzike✍️wakati ule nilikua naishi ukonga kwahyo nikamwambia rot ya kwanza tunaanza sasa tisa nanusu uwe hapa ✍️Basi tumeagana pale kila mtu akachukua time yake tayari kwakujiandaa kwaajili ya kesho✍️.
Basi kisanga kinaanza asubuhi nawasha dcm nafikiri gear zake Rahisi kama za land cruiser 🙌Oya gear unatumia nguvu kama unataka kungoa muhogo kwenye ardhi ngumu🙌nikajikaza nikasema leo mpaka kieleweke nakomaa hivyo hivyo 🤣dereva kachelewa mimi nimetoka mwenyewe nimeanzia mzambaraoni napiga debe mwenyewe abiriq kibao wanapanda nikasema niibe root Kwasababu wa feri ndoyo wengi.
Basi gari imejaa nageuza gomsi dereva ananipigia upo wapi namwambia gomsi kumbe nayeye yupo kituo kipya nimefika pale nikamuachia gari mimi nikarudi mlangoni.Haya naanza sasa kupiga debe oya ya mnazi mmoja posta hii hapa chap tuondoke🤣duuu watu wamekaa chuma inanyanyua hesebu za haraka haraka mmeru mimi nasema kwa hii nyomi sikosi laki 🤣😆🙌. Haya tumefika banana dereva anasema anza kudai nauli. Mimi huyo napita kudai nauli gari yenyewe imejaa hata njia hakuna😆Oya nauli hapo nyuma abiria hawana baya wanafungua nauli zao wananipa siunajua ile sehemu hufiki unasema nichukulie hapo mara yule anatoa anampa abiria mwenzake mpe kond😆
Basi tumeendelea nafika tazara mtu anadai chenji anasema kanipa elfu 10 mhhh sina uhakika ila natoa chenj Nampa maana sijui nani kanipa nanani hajanipa🤣Sasa naanza kuona mbona hela kidogo na gari imejaa full au kuna ambaye sijakusnya huko??mhhh nikaona nisogee kule kwa dereva nimnong'oneze ety gari ikijaa inakua bei gni naona hela ndogo🤣ananiuliza unabei gani mpaka sasa?nikamwambia nina 28,000 akashtuka eehe 28,000!!!😳
🤣🤣🤣🤣
🤣Hii biashara mtu asiwahi nishauri kwakweli nitamvunja mguu🤣🤣🙌🙌narudi tumalizie 🙌🙌🙌
Tuendelee kujuzana biashara gani ilitaka kukutia uchizi🤣🤣
@highlight
Magical power
Na hii baridi wainywe kabisa😂😂Acha story bana uzi utapoa watu wataona chai ujue 😹
Mkuu kwa hiki kiswahili chako wewe utakuwa mmeru wa KenyaMkuu sometimes biashara usipo kua nayo kalibu kujua kinacho ingia na kutoka kwa siku nayo ni rahisi mno kufirisika
Hukutoa macho kama umenaswa na mtego mkuu? What if kufika sehemu mitambo imegoma gari halisimami gear zimegomaBasi kisanga kinaanza asubuhi nawasha dcm nafikiri gear zake Rahisi kama za land cruiser 🙌Oya gear unatumia nguvu kama unataka kungoa muhogo
Tuambiwe wewe unaehisi unajua zaidi.Kwani hela ya chuo na ya kununulia Hiace ipi kubwa?