Mkiu Kwetu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 261
- 278
Acha uroho mkuu, utaishia pabayaWakuu habari za mida hii?
Kunajambo ambalo limenikuta hapa Dodoma kwakweli siamini, mimi ni mgeni nimekuja hapa nina siku nne nimekuja kikazi maramoja jana Jumapili nilienda kanisa fulani kusali sasa baada ya ibada kunadada alinichangamkia tukazoeana ni wa kanisani hapo sasa usiku jana tukachati nikampanga.
Leo nilipotoka ofisini akaja hotel niliyofikia hapa na pale nikaomba papuchi akazingua kidogo badae kaachia sasa mzee nimeanza kazi nakuta demu kalala kama gogo kucheki kumbe ALISHA KEKETWA duu hamu ilikata palepale yaani kwakweli nimejilaumu kula papuchi ya kukeketwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app