Yaliyonikuta ofisi ya kata nimeelewa kwanini wananchi wa Msumi walijichukulia Sheria mikononi

Yaliyonikuta ofisi ya kata nimeelewa kwanini wananchi wa Msumi walijichukulia Sheria mikononi

pombe kali

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
282
Reaction score
561
Inaudhi, inaumiza nimedunduliza nimenunua eneo ambapo nimepitia kwa mamlaka zote za Serikali ya mtaa/kijiji na pia ofisi ya kata cha kusikitisha wanatokea watu wawili au watatu wenye nyaraka za manunuzi ambazo pia zimepewa Baraka na mamlaka hizi, namtafuta mtendaji wa kata haonekani ofisini wiki nzima anaacha maelezo kuwa ana kazi maalum.

Ukitaka kwenda kulalamika kwenye mamlaka yake ya juu yaani kwa DED au RC huwezi kuwaona hawa watu Sasa mimi nafanyaje huu ni mwaka sasa kwanini nisijichukulie sheria mikononi. Pita Bagamoyo kata ya Makurunge utakuta kundi kubwa linamsubiri mtendaji bila kujua yuko wapi na atakuja saa ngapi mamlaka zinalipwa kodi zetu halafu wanatutesa wananchi 😭😢
 
ila hapa kwetu ukienda ofisi yao huduma unapata bila shida,

Poleni huko.

Poleni pia kwa huyo aliyeuliwa, Mungu atamlipia.
 
Inaudhi, inaumiza nimedunduliza nimenunua eneo ambapo nimepitia kwa mamlaka zote za Serikali ya mtaa/kijiji na pia ofisi ya kata cha kusikitisha wanatokea watu wawili au watatu wenye nyaraka za manunuzi ambazo pia zimepewa Baraka na mamlaka hizi, namtafuta mtendaji wa kata haonekani ofisini wiki nzima anaacha maelezo kuwa ana kazi maalum.

Ukitaka kwenda kulalamika kwenye mamlaka yake ya juu yaani kwa DED au RC huwezi kuwaona hawa watu Sasa mimi nafanyaje huu ni mwaka sasa kwanini nisijichukulie sheria mikononi. Pita Bagamoyo kata ya Makurunge utakuta kundi kubwa linamsubiri mtendaji bila kujua yuko wapi na atakuja saa ngapi mamlaka zinalipwa kodi zetu halafu wanatutesa wananchi 😭😢
Kwa Bagamoyo, ofisi za serikali za mtaa ndio machimbo ya matapeli. Wenyeviti wa vijiji, vitongoji pamoja na watendaji wanashirikiana na matapeli kufanya utapeli. Kijiji cha Kidomole kata ya Fukayosi michezo yao ni kama hiyo.
 
Kwa Bagamoyo, ofisi za serikali za mtaa ndio machimbo ya matapeli. Wenyeviti wa vijiji, vitongoji pamoja na watendaji wanashirikiana na matapeli kufanya utapeli. Kijiji cha Kidomole kata ya Fukayosi michezo yao ni kama hiyo.
Anzia Tegeta mpaka Bunju, Bagamoyo halafu njoo Chanika mpaka Kisarawe ni hovyo..utapeli umekithiri, ukienda kununua eneo kichwa kichwa lazima upigwe.

There's no truth in this world.
 
Inasikitisha pale utapeli unapofanyika kwenye ofisi ya serikali Sasa tukimbilie wapi
 
Wale waliokuwa wanajionesha mbele ya makamera kila siku naona siku hizi hawajinadi tena kuanzia waziri
 
Inaudhi, inaumiza nimedunduliza nimenunua eneo ambapo nimepitia kwa mamlaka zote za Serikali ya mtaa/kijiji na pia ofisi ya kata cha kusikitisha wanatokea watu wawili au watatu wenye nyaraka za manunuzi ambazo pia zimepewa Baraka na mamlaka hizi, namtafuta mtendaji wa kata haonekani ofisini wiki nzima anaacha maelezo kuwa ana kazi maalum.

Ukitaka kwenda kulalamika kwenye mamlaka yake ya juu yaani kwa DED au RC huwezi kuwaona hawa watu Sasa mimi nafanyaje huu ni mwaka sasa kwanini nisijichukulie sheria mikononi. Pita Bagamoyo kata ya Makurunge utakuta kundi kubwa linamsubiri mtendaji bila kujua yuko wapi na atakuja saa ngapi mamlaka zinalipwa kodi zetu halafu wanatutesa wananchi 😭😢
Sasa ukijichukulia sheria mkononi si utakosa vyote! Bora ukose hiyo ardhi, na ubakiwe na uhuru wako.

Kuishi maisha ya amri na kuchungungwa milele kwa mwanadamu siyo jambo jepesi kama unavyo dhani.
 
Hicho kiofisi cha mtendaji msumi nakifahamu sana maana tulitapeliwa kiwanja huko huko Msumi, mateso na usumbufu tuliyopata tuliamua kukiacha. Nilivyosikia mtendaji kauawa huko sikushangaa sana.
 
Back
Top Bottom