Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #341
Sasa mbona ushataja mbinu humu humu na Malaya wanasomaWakati mnapeana hayo maujuzi mkumbuke hao Malaya pia wapo humu, wakati unaficha kwenye socks nayeye akishakuibia akaukosa ufunguo moja kwa moja kwenye socks alaf anaukuta sasa...ushapigwa hapo
Kuna Uzi upo humu mtoa Uzi alianalyse njia nyingi Tu za kukwepa kuibiwa na Malaya, moja ya njia anasema ukishafunga mlango wakat yeye anaenda kuoga ww chomoa ufunguo uweke nyuma ya TV flat screen kama ipo, hatokaa aione
Unatupa dirishani? Sasa ukitupa siunaenda nje halafu utaufata vp au mm sijaelewa maelezo yakoHuwa nautupa ufunguo kwa nje... Either dirishani au kwenye korido... Nalala usingizi mtamu...
Akiwa na smartphone huwa nakua makini... Ni bora nikae macho nitaufidia usingizi kesho yake... Unaweza shangaa picha zako za uchi ukazikuta sehemu ''shoga huyo anatafuta bwana wa kumfira...''
We jamaa umetudanganya.Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
JF hamna malaya wanawake wengi wana degree kama sio Diploma...😅Sasa mbona ushataja mbinu humu humu na Malaya wanasoma
Vitu kama vipi? Vitaje nikujibu halafu huo ujumbe aliandika huyo kahaba hivyo hili swali halinihusuWe jamaa umetudanganya.
Haiwezekani ukiwa na shauku ya safari huku ukijua udhaifu wako, halafu ukaenda kulewa. Na mwizi hana sababu ya kuacha ujumbe ulio educative Kwasababu hilo siyo lengo lake.
Mwisho hujatuambia ulipataje msaada wa kurejeshewa baadhi ya vitu muhimu vilivyobebwa ambavyo havikuwa na matumizi kwa mwizi.
Thank you so muchHahaha mkuu tulia bana....we liendeleze banaa
Malaya wengi wana degree mpaka PhD nenda Las Vegas pale mwinyi road utakuja kunishukuruJF hamna malaya wanawake wengi wana degree kama sio Diploma...[emoji28]
Saa tisa za usiku kile kibaridi na nje vibakaMalaya akimaliza alichokijia alipwe na asepe, sasa kulala nae chumba kimoja ili iweje na kazi kishamaliza???
Mk(LEMM)katika ubora wako wakutunga storyIlikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Duh, Zimbabwe, Simonge road hiyo [emoji2][emoji2]Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Yan mshkaji kweny kila stori yake kuna uzembe flani lazma ataufsnya sasa cjajua kama huwa nj chai au chombezawe bwege unalalaje kwa aman na mtu usiyomjuwa,tena unalala kifala hadi unaibiwa walet ?
Unapapata mkuu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Duh, Zimbabwe, Simonge road hiyo [emoji2][emoji2]
Mkuu sijawahi toa Mada za uongo. Mm zambi kubwa ninayoiogopa ni uongoYan mshkaji kweny kila stori yake kuna uzembe flani lazma ataufsnya sasa cjajua kama huwa nj chai au chombeza
Alafu nina ka ushuhuda wako ...kuna uzi uliandika kuhusu kila bar zinazo kesha na kulala bure ...free kila mkoa ...... kuna mkoa nlifaidika baada ya kusoma uzi wako .... siku nikitulia ntakupa full details mkuuMkuu sijawahi toa Mada za uongo. Mm zambi kubwa ninayoiogopa ni uongo
Sawa kiongozi wangu, JF tunapeana mbinu za kivita kila nyanjaAlafu nina ka ushuhuda wako ...kuna uzi uliandika kuhusu kila bar zinazo kesha na kulala bure ...free kila mkoa ...... kuna mkoa nlifaidika baada ya kusoma uzi wako .... siku nikitulia ntakupa full details mkuu
Fungua uzi.. Jinsi uzi wa mpwayungu village ulivyoniokowa kwenye kipindi kigumuAlafu nina ka ushuhuda wako ...kuna uzi uliandika kuhusu kila bar zinazo kesha na kulala bure ...free kila mkoa ...... kuna mkoa nlifaidika baada ya kusoma uzi wako .... siku nikitulia ntakupa full details mkuu
Unaficha sehemu ganiMimi huwa nachukua funguo kinyemela na kuificha.
Lodge nyingine wapumbavu, vitanda vyao wamejengea kwa cement na mtofali😂🤣Unalala na malaya funguo unaacha mlangoni kweli we mjini bado sana,ukilala na malaya kitanda unakisogeza mlangoni hatoki mtu