financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Hahaa asilimia zimepungua kweli , hivi unalalaje nusu nusu jamani😂😂😂 😂 Hapa sasa ndio unapata sababu ya kunipiga chini.. 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaa asilimia zimepungua kweli , hivi unalalaje nusu nusu jamani😂😂😂 😂 Hapa sasa ndio unapata sababu ya kunipiga chini.. 😂
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Mateso yote haya ya nini, ukidumbukia je, halafu nikwambie tu ukweli hata wao hatua ya mwisho huwa wanaenda kukagua mpaka chooni elewa kuwa umelala na kahaba lakini pia kibaka mzoefuFicha ufunguo hata kuuweka chooni au sehemu ambazo hatajua kuwa umeficha. Weka kwenye kidirisha cha toilet
Bora kuliko kupigwaSasa sutaonekana wa ajabu ndugu yangu, maisha gani hayo bhana
Hata mambo mkuu yapo wala simkatalii kuna mwaka 2012 safari ya siku moja tulisafiri siku mbili kutokana na gari tuliyokuwa tunasafiri nayo haikuwa na spares mara zote gari ilipotuharibikia iliwalazimu kurudi walikotoka kwenda kuchukua ama kwenda kituo cha mbele kutafuta spareSiwezi kusema hii stori ni ya uongo....ila ninachotamani kuhoji ni kwa vipi Bus kukosa spare tyre?...labda kama kuna sababu nyingine ila kama ndivyo basi hiyo Kampuni ni ya kuondolewa kabisa baranbarani.
Meza funguoKuna gest nyingine vitanda vyao vimejengelewa vy upa siment hapo unatumia mbinu gani nyingine.
#MaendeleoHayanaChama
Duuh!! We kweli umekubuhu!!Unalala na malaya funguo unaacha mlangoni kweli we mjini bado sana,ukilala na malaya kitanda unakisogeza mlangoni hatoki mtu
Ipo inafanya kazi,Ila kuna club moja inaitwa TERRACE ndio ina trend nowadays. karibu Tabora kwa wanyamwezi.Vipi mkuu oxygen bado ipo
we bwege unalalaje kwa aman na mtu usiyomjuwa,tena unalala kifala hadi unaibiwa walet ?Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Umeonaaa ile ingne hajamalizawejamaa ni mwongo san
Watakatifu nao wapo 😅😅Ebu ficha Ujinga wako
Kwani unafikiri hajui bhana, huyu sianajizima data tuHata mambo mkuu yapo wala simkatalii kuna mwaka 2012 safari ya siku moja tulisafiri siku mbili kutokana na gari tuliyokuwa tunasafiri nayo haikuwa na spares mara zote gari ilipotuharibikia iliwalazimu kurudi walikotoka kwenda kuchukua ama kwenda kituo cha mbele kutafuta spare
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hiyo TERRACE ipo hata singida ni kibokoIpo inafanya kazi,Ila kuna club moja inaitwa TERRACE ndio ina trend nowadays. karibu Tabora kwa wanyamwezi.
Huwa inatokeawe bwege unalalaje kwa aman na mtu usiyomjuwa,tena unalala kifala hadi unaibiwa walet ?
Sahii kabisa,Na aliikuta pia.
Hii biashara IPO Dunia nzima mkuuMbona Afghanistan [emoji1023] hakuna Malaya
Hapo unalala kisteringi steringi yaan, 😂Hahaa asilimia zimepungua kweli , hivi unalalaje nusu nusu jamani😂😂
Ila kuna watu ni washamba wa mbususu[emoji1787][emoji1787]Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
[emoji23]Unalala na malaya funguo unaacha mlangoni kweli we mjini bado sana,ukilala na malaya kitanda unakisogeza mlangoni hatoki mtu
Hawawezi kuisha kule, waishakuwa wazawa.Mkuu Waarabu wa Tabora bado wapo?
Hii principal nzuri nitatumiaIla kuna watu ni washamba wa mbususu[emoji1787][emoji1787]
Yaan unalala na malaya na unapata usingizi?
Wenzako wakilala na malaya hawasinzii mpka aondoke fala ww[emoji23] alafu unalalaje na mtu usie mfahamu akikunuonga usiku!!
Malaya ni short time tu asepe sio kulala nae, hivi huwa mnajiamini nn?
Ww ni kiande sana, me hata dem ambae sjazoeana nae hata kama namfahamu vizur siwezi kulala nae usiku nisinzie