Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
- Thread starter
-
- #121
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] AU vipiOngeeni na watu vizuri mimi nishawahi waibia malaya kama wawili hiv waliokuwa wanataka kuniibia sema wakukuta ni born town[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nitafteni siku niwashushie uzi wa mbinu.... Halafu huwezi amin wale malaya walikuja kuwa bestie zangu kinyamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] AU vipi
Susha saizi au tudokeze shortlyNitafteni siku niwashushie uzi wa mbinu.... Halafu huwezi amin wale malaya walikuja kuwa bestie zangu kinyamaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu we si umeacha hizo mambo[emoji23][emoji23][emoji23]Susha saizi au tudokeze shortly
Ndo maana lodge nyingine unaandikiwa sheria kabisa chumbani kama una pesa au kitu cha thamani na unahitaji kutunziwa peleka mapokeziIlikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Hiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Ficha kwenye sink la maji chooni hatokaa auone asilani!Usipoona sehemu ya kuficha je
Unanunua malaya unahangaika na romance Ili iweje? Yeye anachotaka ni hela na wewe unachotaka ni utekezi na umwage basi.Malaya upaka dawa za usingizi kwenye chuchu zao ukinyonya tu utaamka Saa sita kesho. Kuchukua malaya safarini ni hatari sana
Kuna zile fish fish chuchu msumari inakuaje.Au ukaiogeshe bafuniUnanunua malaya unahangaika na romance Ili iweje? Yeye anachotaka ni hela na wewe unachotaka ni utekezi na umwage basi.
Aahh.. Sio kweli mkuu 😂🤣Hapo Sawa, maana komenti nyingi nakuonaga unasimulia Malaya kila mkoa unapofikia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vingine ni chamsha baraza..Si Kila anayekaa dar ni mjanja mkuu,hao mademu wauza nyapu leo anaweza akawa tabora kesho akawa dar,kesho kutwa tunduma n.k,Kwa hiyo inatokea sometimes demu akawa mjanja zaidi ya mjuba..isitoshe malaya wa kulala naye Kuna mbinu,wengine wasiozoea hizo ishu hawazijui
Mimi sikuchukuwa wale wanaosimama nje nilichukuwa wa ndaniHiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.
Alafu hilo eneo ulienda linaitwa OXYGEN LOUNGE au (shimoni) ,lipo eneo la kanyenye hapa Tabora. Hilo eneo kuna Malaya mpaka wa 2000.
Vipi mkuu oxygen bado ipoHiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.
Alafu hilo eneo ulienda linaitwa OXYGEN LOUNGE au (shimoni) ,lipo eneo la kanyenye hapa Tabora. Hilo eneo kuna Malaya mpaka wa 2000.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Tabu zote hizi za niniFicha kwenye sink la maji chooni hatokaa auone asilani!
Unasumbuka sanaIlikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Mbona mateso yote hayaNikufundishe tu mdogo wangu.. ukiwa na demu yeyote awe ni malaya ama demu wako kabisa. Ukiingia kwako tu ama lodge hakikisha haya.
1. Wallet ficha
2. Toa ten weka mfuko wa suruali kuzugia.
3. Hakikisha ufunguo haupo mlangoni ficha.
4. Hakikisha unakuwa wa mwisho kulala na wa kwanza kuamka, ikiwezekana usisinzie kabisa. We muda wote omba mzigo
5. Usiende chooni ukamwacha room, subiri akiondoka ndio uingie bafuni/chooni
Aawee mimi napenda wa kulala ili nimtafune nachaasubuhiMalaya huwez kulala nae Hadi mornie,,,, chukua piga mpe chake ucku huo huo aondoke,,,, kosa sana ulifanya