Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.

Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.

Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Ndo maana lodge nyingine unaandikiwa sheria kabisa chumbani kama una pesa au kitu cha thamani na unahitaji kutunziwa peleka mapokezi
 
Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.

Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.

Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Hiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.
Alafu hilo eneo ulienda linaitwa OXYGEN LOUNGE au (shimoni) ,lipo eneo la kanyenye hapa Tabora. Hilo eneo kuna Malaya mpaka wa 2000.
 
Nikufundishe tu mdogo wangu.. ukiwa na demu yeyote awe ni malaya ama demu wako kabisa. Ukiingia kwako tu ama lodge hakikisha haya.
1. Wallet ficha
2. Toa ten weka mfuko wa suruali kuzugia.
3. Hakikisha ufunguo haupo mlangoni ficha.
4. Hakikisha unakuwa wa mwisho kulala na wa kwanza kuamka, ikiwezekana usisinzie kabisa. We muda wote omba mzigo
5. Usiende chooni ukamwacha room, subiri akiondoka ndio uingie bafuni/chooni
 
Vingo
Si Kila anayekaa dar ni mjanja mkuu,hao mademu wauza nyapu leo anaweza akawa tabora kesho akawa dar,kesho kutwa tunduma n.k,Kwa hiyo inatokea sometimes demu akawa mjanja zaidi ya mjuba..isitoshe malaya wa kulala naye Kuna mbinu,wengine wasiozoea hizo ishu hawazijui
Vingine ni chamsha baraza..

Tunawajua wauza nyabwa, wa dar unamkuta mpaka songea huko, wengine wanakodi chumba kabisa
 
Hiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.
Alafu hilo eneo ulienda linaitwa OXYGEN LOUNGE au (shimoni) ,lipo eneo la kanyenye hapa Tabora. Hilo eneo kuna Malaya mpaka wa 2000.
Mimi sikuchukuwa wale wanaosimama nje nilichukuwa wa ndani
 
Hiyo kampuni ya HBS imeisha kufa toka 2019, ilikuwa inazingua Sana hapa Tabora.
Alafu hilo eneo ulienda linaitwa OXYGEN LOUNGE au (shimoni) ,lipo eneo la kanyenye hapa Tabora. Hilo eneo kuna Malaya mpaka wa 2000.
Vipi mkuu oxygen bado ipo
 
Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.

Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.

Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Unasumbuka sana
 
Nikufundishe tu mdogo wangu.. ukiwa na demu yeyote awe ni malaya ama demu wako kabisa. Ukiingia kwako tu ama lodge hakikisha haya.
1. Wallet ficha
2. Toa ten weka mfuko wa suruali kuzugia.
3. Hakikisha ufunguo haupo mlangoni ficha.
4. Hakikisha unakuwa wa mwisho kulala na wa kwanza kuamka, ikiwezekana usisinzie kabisa. We muda wote omba mzigo
5. Usiende chooni ukamwacha room, subiri akiondoka ndio uingie bafuni/chooni
Mbona mateso yote haya
 
Back
Top Bottom