Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Ujengewe mnara.
Ukimkamata malaya dawa ni shoo libende usiku kucha Hakuna kulala kulala akalale kwao.Mechi mwanzo mwisho Ili usilale ukapigwa
Nakubali malaya sio wa kjnuachia achia show mwanzo mwisho uwa wanasimuliana huko wakiwa wanapiga story utasikia anawambia wenzake "duh jana sikulala kabisa nilipata mtu anakamua usiku mzima"[emoji41]
 
Narudia tena kusema kibaka anayeiba simu ni kilaza tu, pia anayeibiwa simu na asiipate ni kilaza haswaa.

Jitahidi ufute ujinga na vibaka vilaza (tena wa kike) watakoma kukuibia smartphone.
Kwani wezi wote wa natokea maeneo uliyowakuta? Malaya huwa wanazunguka Leo unamkuta tabora kesho kahama kesho kutwa Dar mwezi ujao Capetown
 
Jamaa yangu alichukua malaya dodoma, akampga iphoné x, laptop na pesa akamwachia jero ya daladala mezani.
Baada ya hapo akampga pcha akiwa kalala uchi na wakiwa wote kitandani akawa anazitumia kuamblackmail [emoji38][emoji38][emoji38]
Baaadae sana akaja kugundua wana ukoo wa mbaliii ndo kumblackmail kukaisha
Jamaa yako ni mshamba na alivamia jiji kishamba
 
nakumbuka mara ya kwanza kufika singida ilikua 2012 nililala sehem inaitwa aqua uzuri bag lenye laptop wanakushauri uliandikishe pale mapokezi wanakuhifadhia sasa nikapata kamlupo nikazama nako ndichi mida ya sa nne mambo yakafanyika sasa nilikua na fungua ambayo inafanana na ya kitasa cha hicho chumba hivyo nilipokua nafunga nikachomoa funguo kwakua haikua na kibanzi kinachoonyesha namba ya chumba ile yangu nikaweka kwenye mfuko wa suruali ile ya mlango wa gest nkaiweka kwenye mfuko wa bukta bila yy kuniona bas tukalala usiku nikamsikia anaamka kavaa akachukua simu yangu wallet kakagua ina hela kidogo akachota akakagua begi langu hakupata cha maana bas akachukua suruali akatoa funguo huku ananiangalia kama bado nimelala akaweka ili afungue ikagoma akajua kabugi akarudisha kilabkitu mahali pake akavua nguo akarud kulala nikajidai nimestuka nikamuomba mchezo nikashindua tena sasa nimemaliza nkamwambia ulikua unataka kusepa haya ondoka na mida hiyo ni sa tisa nkamfukuza na hela niliyompa nikamnyang'anya walinzi walipokuja nkawachana nn kilichotokea wakasisitiza nimpe hata hela ya usafiri ikaitwa boda akasepa ila ningekaa kizembe ningeibiwa vibaya na ningetoka na aibu sana
 
Jamaa yangu alichukua malaya dodoma, akampga iphoné x, laptop na pesa akamwachia jero ya daladala mezani.
Baada ya hapo akampga pcha akiwa kalala uchi na wakiwa wote kitandani akawa anazitumia kuamblackmail [emoji38][emoji38][emoji38]
Baaadae sana akaja kugundua wana ukoo wa mbaliii ndo kumblackmail kukaisha
Kwahyo ukoo wao ni malaya
 
Ebu muwe mnaweka fungua hata ndani ya kiatu halaf unakisukumia Uvunguni bhanaa.... Ikiwashindwa hiyo weka Funguo kweny Soksi halaf iweke chini ya Mto wa kulalia
 
nakumbuka mara ya kwanza kufika singida ilikua 2012 nililala sehem inaitwa aqua uzuri bag lenye laptop wanakushauri uliandikishe pale mapokezi wanakuhifadhia sasa nikapata kamlupo nikazama nako ndichi mida ya sa nne mambo yakafanyika sasa nilikua na fungua ambayo inafanana na ya kitasa cha hicho chumba hivyo nilipokua nafunga nikachomoa funguo kwakua haikua na kibanzi kinachoonyesha namba ya chumba ile yangu nikaweka kwenye mfuko wa suruali ile ya mlango wa gest nkaiweka kwenye mfuko wa bukta bila yy kuniona bas tukalala usiku nikamsikia anaamka kavaa akachukua simu yangu wallet kakagua ina hela kidogo akachota akakagua begi langu hakupata cha maana bas akachukua suruali akatoa funguo huku ananiangalia kama bado nimelala akaweka ili afungue ikagoma akajua kabugi akarudisha kilabkitu mahali pake akavua nguo akarud kulala nikajidai nimestuka nikamuomba mchezo nikashindua tena sasa nimemaliza nkamwambia ulikua unataka kusepa haya ondoka na mida hiyo ni sa tisa nkamfukuza na hela niliyompa nikamnyang'anya walinzi walipokuja nkawachana nn kilichotokea wakasisitiza nimpe hata hela ya usafiri ikaitwa boda akasepa ila ningekaa kizembe ningeibiwa vibaya na ningetoka na aibu sana
Buuuuh!!! Mkuu hongera ulisoma rada mapema sana vinginevyo ungekuwa ktk hali tofauti
 
Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.

Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.

Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Baba Regina acha vituko.Kwa hiyo akasepa na wallet?Noma kimbwa!😂😂😂😂😂
 
Ebu muwe mnaweka fungua hata ndani ya kiatu halaf unakisukumia Uvunguni bhanaa.... Ikiwashindwa hiyo weka Funguo kweny Soksi halaf iweke chini ya Mto wa kulalia
Unapigwa mapema tu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom