the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Achana na guest na lodge peleka hoteli hatoki mpaka wewe u confirm. Ndio dawa hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapi weye gogoz nikununulie hata bia-bingwa?😂😂😂😂[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ilikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Hizo hotel za laki moja kwa siku iyo pesa Sina mimiAchana na guest na lodge peleka hoteli hatoki mpaka wewe u confirm. Ndio dawa hiyo
Hilo huwa nalifanya lakini hata wao huwa wanasinziaWakati mwingine mpe mlinzi na mdada wa reception elfu mbili mbili na kuwapa maelekezo huyu mtu asiruhusiwe kutoka mpka nitoe kibali cha yeye kutoka
Kama KawaKwenye ubora wako
Mimi nataka choya tu nipo apa kijiji cha ndogowe nyuma kidogo ya mlazo hii barabara ya mpwayunguUko wapi weye gogoz nikununulie hata bia-bingwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi bia za Bujumbura ulizigawa Tabora?Huku Mwendamseke hazijatufukia ujue!😂😂😂Kama Kawa
Ulivyoitaja postikodi ulipo umeonesha uzalendo.Piga bingwa saba nakuja kulipa.Mama Samia Kafanya yake kwenye akaunti.😂😂😂Mimi nataka choya tu nipo apa kijiji cha ndogowe nyuma kidogo ya mlazo hii barabara ya mpwayungu
Dah!Weye ni ninja sana.😂😂😂😂Chukua pesa,weka kwenye nguo zake halikadhalika na funguo.Haya yote yafanye,akienda kuoga.Lala kwa utulivu,hakika asubuhi atakuamsha umpe pesa yake.
Upiga bakora ata ukiamka usiku wa majogoo.We unachukua malaya alafu unalala aisee, kwani huyo malaya umemchukua ili akulinde ukilala ? Au huna kifanyio
Ooh kesho kutwa naweza enda bujumbura nitakushtua ulale Bata tupunguze machungu ya tozoHivi bia za Bujumbura ulizigawa Tabora?Huku Mwendamseke hazijatufukia ujue![emoji23][emoji23][emoji23]
Ungelipiga dawa ya usingizi kwenye kinywajiIlikuwa ni tarehe 12 mwezi wa 7 mwaka 2018 njiani kuelekea Tabora mjini tukiwa kwenye usafiri wa jumuiya HBS Express tukitokea Dar Es Salaam. Tulifika Tabora mjini saa tano usiku kutokana na changamoto ilijitokeza katikati ya safari Bus lilipasuka Tyre hivyo tulisubiri Tyre itoke tabora mjini iletwe porini ambapo bus hili lilipata hitlafu, baada ya masaa mawili hivi tyre ililetwa wakafunga ngoma ikasepa. Mida ya saa tano usiku tabora ilikuwa imezizima kiasi labda pale stend tu ndokuna madogo wanakesha kulinda mizigo na mabus na kuuza vichipsi yai.
Nikaona niende lodge nikamtafuta bodaboda akanipeleka lodge moja inaitwa ZIMBABWE LODGE chumba 20000 ni kachukua chumba ila usingizi ukagoma nikamuuliza mdada wa reception bar ya karibu nikapate kinywaji akasema niende Oxygen gas huwa wanakesha. Nilipoenda nikalewa nikachukuwa Malaya mmoja anaitwa Regina japo huwa wanataja majina ya uongo. Huyu Malaya nililala nae Ile kuamka saa mbili asubuhi nikakuta kaloweka nguo zangu zote, Kaiba simu yangu tecno photom six, Kaiba wallet jinsi ilivyo Ina pesa zote na vitambulisho.
Akaacha ujumbe wa maandishi mezani KOMA KUCHUKUWA MALAYA USIOWAJUA KWAO NI WAPI. Nilitaka kulia ila kwa kuwa mm ni mwanaume nilijikaza kisabuni wahudumu walicheka sana wakisema mkaka umetoka safarini badala ulale unafanya uzinifu wa kipumbavu, walinitukana japo hawanijuwi heshima yangu ikawa zero. Nilichukuwa zile nguo nikaanika zilipokauka nikasepa bila kuaga View attachment 2330016
Kama mi ndo ningekuwa bosi wa huyo jamaa,ningemsamehe tu,wee chuchu konzi bila kuinyonyanyonya mbona hasara kubwaPana mtu alienda seminar mkoani akaopoa fish fish chuchu msumari akajifanya fundi wa kunyonya embe sindano akajikuta kaamka Saa nne kwa kuamshwa na muhudumu kaachiwa bastola pekee yake,malaya kakomba KILA kitu kuanzia pochi,begi la nguo, laptop na flash yake ya kuprezent kwenye kikao ofisini kesho.
Wengine huwa wanataka pesa kabla ya mchezoChukua pesa,weka kwenye nguo zake halikadhalika na funguo.Haya yote yafanye,akienda kuoga.Lala kwa utulivu,hakika asubuhi atakuamsha umpe pesa yake.
Kwani salary tayari?? Mpaka tar 22 kesho dogo acha wengeUlivyoitaja postikodi ulipo umeonesha uzalendo.Piga bingwa saba nakuja kulipa.Mama Samia Kafanya yake kwenye akaunti.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hiyo tabia. Kisheria ukifanya tendo la ndoa na mwanamke uliyempa dawa za usingizi au kilevi chochote kwenye pombe huo ni ubakajiUngelipiga dawa ya usingizi kwenye kinywaji