Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Yaliyonikuta Tabora 2018, sitachukua kahaba wa kulala nae tena

Huwa nautupa ufunguo kwa nje... Either dirishani au kwenye korido... Nalala usingizi mtamu...

Akiwa na smartphone huwa nakua makini... Ni bora nikae macho nitaufidia usingizi kesho yake... Unaweza shangaa picha zako za uchi ukazikuta sehemu ''shoga huyo anatafuta bwana wa kumfira...''
Kuna jamaa yangu ilimkuta alijisahau akapigwa picha bahat nzur haikua picha mbaya sana, yule malaya aka edit akaandika shoga huyu anapatikana bonyokwa alafu akamtumia jamaa wasap akamwmbia nitumie elfu 30 kabla sijaiweka kwenye magroup yetu, jamaa akatuma.

Demu akaona ndo kamchezo akiwa na shida ya pesa anafanya hivo jamaa akaona huu ujinga akamblock yule malaya kila sehem akasema liwalo na liwe, hakikutokeaga chochte kibaya yule malaya naona alipotezeaga
 
Sheria ya kulala na Mrax Lodge

1.Kabidhi vitu vyako vya thamani counter (mapokezi)

Kama huwezi

2.Mkiingia room jifanye wewe ni gentleman kuliko wote duniani,tandua kitanda vuruga vuruga hapo unajifanya unakung'uta vumbi yani unatandika upya maana hujaridhika na utandikaji wao. Wakati unatandika chomeka hela kwenye foronya zitandikie humo humo ndani ya godoro.

Kama huwezi

3.Mkiingia wakati wa hakikisha anaenda yeye kuoga wakwanza,wewe baki nyuma hela zako fisha kwenye suruali yake,yani weka kwenye mifuko ya suruali yake (akiamka usiku kuku search hawezi jisachi suruali zake)

AU

Kama ana kipochi chake kifungue chap chap ficha hela zako humo,kisha rudsha pochi yake huko hakikisha humruhusu ashike pochi yake mpka kesho asubuhi (akiamka usiku kusaka wallet yako hawezi search pochi yake)

Kama huwezi

4. Kwa kua umeshaonyesha wewe ni gentleman wa kwenda change position ya kitanda sogeza karibu na mlango sababu kuu iwe ni unaogopa utaibiwa maana unaujua huo mtaa kwa wezi,kaza mlango na kitanda (usiku labda atokee kwa dirishani)

Kama huwezi

5.Mrax haliwi romance wala halambwi mwili wake popote pale,mkiingia acha kujitia unayajua mahaba kenge wewe,linda mdomo wako na ulimi wako usionje chochote kile,piga mzigo Lala zako "mahaba waachie njiwa".

Unapokua vitani usijiachie usingizini lala kwa step maana kuna wengine ni ma PRO tekniki zote hizo na bado anaweza kukupga na kitu kizito.

Ili uwe salama njia ni 1 tu,Jisalimishe mapokezi kabidhi hadi roho yako mapokezi ukiingia room ingia bila hata roho,hawa viumbe wanawake (kahaba) sio watu ndio shetani mwenyewe huyo yani unamuona live live.
Mkuu una teknik nyingi sana, ile ya kuficha kwenye suruali yake au mkoba wake naijua ila ya kuingia chumbani bila roho nilikuwa siijui
 
Kuna jamaa yangu ilimkuta alijisahau akapigwa picha bahat nzur haikua picha mbaya sana, yule malaya aka edit akaandika shoga huyu anapatikana bonyokwa alafu akamtumia jamaa wasap akamwmbia nitumie elfu 30 kabla sijaiweka kwenye magroup yetu, jamaa akatuma.

Demu akaona ndo kamchezo akiwa na shida ya pesa anafanya hivo jamaa akaona huu ujinga akamblock yule malaya kila sehem akasema liwalo na liwe, hakikutokeaga chochte kibaya yule malaya naona alipotezeaga
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Duuuh mimi situmi hata Mia, kwanza hakuna anayenijua
 
Back
Top Bottom