Rhz4567
JF-Expert Member
- Mar 16, 2018
- 4,893
- 6,599
Ajira hakuna,sikuhizi wamejiajiri kuwa wajasiriamwili.JF hamna malaya wanawake wengi wana degree kama sio Diploma...😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajira hakuna,sikuhizi wamejiajiri kuwa wajasiriamwili.JF hamna malaya wanawake wengi wana degree kama sio Diploma...😅
Huwa silali kwenye hayo makaburiLodge nyingin
Lodge nyingine wapumbavu, vitanda vyao wamejengea kwa cement na mtofali😂🤣
Hizo lodge mm siwezi kuingiaLodge nyingin
Lodge nyingine wapumbavu, vitanda vyao wamejengea kwa cement na mtofali[emoji23][emoji1787]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Eti wajasiliamwiliAjira hakuna,sikuhizi wamejiajiri kuwa wajasiriamwili.
Huenda ushalala bila kujua,Hizo lodge mm siwezi kuingia
Lazima niwe na namba ya muhudumu... Muda wa kutoka ukifika, nampigia aje aokote ufunguo...Unatupa dirishani? Sasa ukitupa siunaenda nje halafu utaufata vp au mm sijaelewa maelezo yako
Sasa wakipita watu nje wakaokota je? Ebu ngoja kwanza yani hayo yote unafanya ili iwe vipi yaniLazima niwe na namba ya muhudumu... Muda wa kutoka ukifika, nampigia aje aokote ufunguo...
Kuna jamaa yangu ilimkuta alijisahau akapigwa picha bahat nzur haikua picha mbaya sana, yule malaya aka edit akaandika shoga huyu anapatikana bonyokwa alafu akamtumia jamaa wasap akamwmbia nitumie elfu 30 kabla sijaiweka kwenye magroup yetu, jamaa akatuma.Huwa nautupa ufunguo kwa nje... Either dirishani au kwenye korido... Nalala usingizi mtamu...
Akiwa na smartphone huwa nakua makini... Ni bora nikae macho nitaufidia usingizi kesho yake... Unaweza shangaa picha zako za uchi ukazikuta sehemu ''shoga huyo anatafuta bwana wa kumfira...''
Mkuu nimetoa mbinu tu lakini mimi siyo mishe zangu hizoUtakuwa kahaba mzoefu wewe sip kwa mambinu haya🤣🤣🤣
Mkuu una teknik nyingi sana, ile ya kuficha kwenye suruali yake au mkoba wake naijua ila ya kuingia chumbani bila roho nilikuwa siijuiSheria ya kulala na Mrax Lodge
1.Kabidhi vitu vyako vya thamani counter (mapokezi)
Kama huwezi
2.Mkiingia room jifanye wewe ni gentleman kuliko wote duniani,tandua kitanda vuruga vuruga hapo unajifanya unakung'uta vumbi yani unatandika upya maana hujaridhika na utandikaji wao. Wakati unatandika chomeka hela kwenye foronya zitandikie humo humo ndani ya godoro.
Kama huwezi
3.Mkiingia wakati wa hakikisha anaenda yeye kuoga wakwanza,wewe baki nyuma hela zako fisha kwenye suruali yake,yani weka kwenye mifuko ya suruali yake (akiamka usiku kuku search hawezi jisachi suruali zake)
AU
Kama ana kipochi chake kifungue chap chap ficha hela zako humo,kisha rudsha pochi yake huko hakikisha humruhusu ashike pochi yake mpka kesho asubuhi (akiamka usiku kusaka wallet yako hawezi search pochi yake)
Kama huwezi
4. Kwa kua umeshaonyesha wewe ni gentleman wa kwenda change position ya kitanda sogeza karibu na mlango sababu kuu iwe ni unaogopa utaibiwa maana unaujua huo mtaa kwa wezi,kaza mlango na kitanda (usiku labda atokee kwa dirishani)
Kama huwezi
5.Mrax haliwi romance wala halambwi mwili wake popote pale,mkiingia acha kujitia unayajua mahaba kenge wewe,linda mdomo wako na ulimi wako usionje chochote kile,piga mzigo Lala zako "mahaba waachie njiwa".
Unapokua vitani usijiachie usingizini lala kwa step maana kuna wengine ni ma PRO tekniki zote hizo na bado anaweza kukupga na kitu kizito.
Ili uwe salama njia ni 1 tu,Jisalimishe mapokezi kabidhi hadi roho yako mapokezi ukiingia room ingia bila hata roho,hawa viumbe wanawake (kahaba) sio watu ndio shetani mwenyewe huyo yani unamuona live live.
😂😂😂😂 Hongera mkuuUyo demu ni cherokee dass pichani
Ila ukicheza vibaya inakula kwako mazimaHii technique ni high risk ila nimeikubali, smart move
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Duuuh mimi situmi hata Mia, kwanza hakuna anayenijuaKuna jamaa yangu ilimkuta alijisahau akapigwa picha bahat nzur haikua picha mbaya sana, yule malaya aka edit akaandika shoga huyu anapatikana bonyokwa alafu akamtumia jamaa wasap akamwmbia nitumie elfu 30 kabla sijaiweka kwenye magroup yetu, jamaa akatuma.
Demu akaona ndo kamchezo akiwa na shida ya pesa anafanya hivo jamaa akaona huu ujinga akamblock yule malaya kila sehem akasema liwalo na liwe, hakikutokeaga chochte kibaya yule malaya naona alipotezeaga
Ndio Dr Job Azz au nasema uongo ndugu yangu......😂😂😂😂 Hongera mkuu
Ndiyo mana nimekupa hongera zako haijalishi ndiyo yeye au la ila kumjua uyo mtu basi wewe mfatiliaje wa anachofnya na mpak kupata hiyo brand nameNdio Dr Job Azz au nasema uongo ndugu yangu......
Sidhani kama JF Kuna makahaba, hili jukwaa sio InstagramMnamwaga siri za kambini sana inatosha,
wahusika wanasoma tekniki wapendwa msijiachie sanaa
Kwani unamjua, hii picha nimeokota tuUyo demu ni cherokee dass pichani
Huyu mwongo tu bhana wewe, kama alienda Nigeria basi ni kweli maana hizi sura nizaki.NigeriaNdiyo mana nimekupa hongera zako haijalishi ndiyo yeye au la ila kumjua uyo mtu basi wewe mfatiliaje wa anachofnya na mpak kupata hiyo brand name