Yaliyonikuta Ziwa Rukwa sitokaa niyasahau

Unasema umefika ilemba Kisha mmkanza kutembea kwa miguu kuelekea ziwani mbna ziwa na ilemba hakuko mbali na Kijiji Cha nankanga Ni karibu tu kwa pikipiki natembe kwa dakk kumi had Kumi na tano kufikaa ziwani sas sijui jama alikupitisha wapi napata wasiws mkuu
 
Nimekaa sana NANKANGA, ilemba, Kuna mradi wa maji tulifanya maeneo hayo
Ziwa Tanganyika, ziwa Rukwa, hayo maziwa yote huwezi nipoteza huko, Chocho zote najua, Hadi ukivuka Tanganyika huwezi nipoteza pande zote!
Hata mm niliwai kuwa pande hzo bonde Hilo la sumbawanga nimekuepo nikipeleka mirad ya umem sas Kuna sehemu kanichamganya kidg kusema ilemba Ni mbali na ziwa sijajuwa walienda kuingilia kambi ipi kwan ilemba na nankanga Ni jirani tu ila huyu Ni mpwayangu at his best
 
Kuna Kasumba Mbaya sana JF..na inawakimbiza sana watu...mtu akileta story yake watu wanajaribu kwa nguvu zote kuifanya iwe ya uwongo na ikose posts za kutosha....shida ni nn?
Roho mbaya tu
 
Daah pole sana ndugu.
 
Ukiwa mgeni na una uchovu wa safari tena usiku,lazima uone mbali,tena walikua wanatembea kwa miguu,lazima aone mbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…