Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
CHADEMA kama viongozi, makada na wafuasi wake makini ni kikundi kidogo sana ambacho hakiwezi kabisa kuzuia dola yenye nyenzo zote za taifa hili kuiba uchaguzi.

Hata hiyo katiba na tume huru, CHADEMA kama hicho kikundi hawakuwa na ubavu wa kulazimisha dola ikubali viwepo. Labda kwa mtu asiye na picha ya dola hapa nchini ni nini hasa.

TUANGALIE PICHA KUBWA. NI nani hasa anayeibiwa uchaguzi? Ni kweli kuwa wagombea wa CHADEMA na chama chao kuna manufaa ya kiuchumi na hadhi wanayopata kwa kushinda majimbo ya uchaguzi. LAKINI hao na familia zao ni watu wachache sana ambao uwepo wao hapa duniani ni mfupi sana. Umuhimu wao uko kwenye kazi wanayotarajiwa kuifanya Wakichaguliwa na wananchi.

Wanufaika wakuu wa uchaguzi ni wananchi milioni 60+. Wao ndio wanajua ni wagombea gani wa chama kipi watawapa uongozi na uwakilishi bora. Sasa kama dola inapora ushindi wa wagombea waliochaguliwa na wananchi halafu watu wanawazodoa wagombea na chama chao (kikundi) kwa kutopambana na vyombo vya dola kuzuia kuporwa kwa kura za wananchi basi tuna nchi ya ajabu sana hii. Sijui wangapi wanafurahia bunge la sasa na halmashauri zilivyo.

Kuna wakati nilitamani CHADEMA waachane kabisa na chaguzi hata siasa ili tubaki na chama kimoja na vyama vibaraka kama enzi za Mobutu na Zaire yake. Labda watu watapata somo. Lakini nikakumbuka kuwa ni jeuri ya CHADEMA kuendelea kuwepo ndiyo inayodhihirisha jinsi mfumo wa uongozi wa nchi na siasa ulivyooza na jinsi sisi raia tulivyo gutless mbele ya genge la mafisadi.

Pia sioni tatizo makada wa CHADEMA wakipata manufaa yao madogo ya kiuchumi kutoka keki ya taifa kwa kazi yao muhimu wanayotufanyia wakati sisi tunaendekeza ujinga mbele ya watawala badala ya kujiunga na kuongeza nguvu ya mapambano. Uwepo wao angalau unatupa mwanga wa matumaini kwamba bado wapo watu wenye guts nchini. One day things might change.
 
CHADEMA kama viongozi, makada na wafuasi wake makini ni kikundi kidogo sana ambacho hakiwezi kabisa kuzuia dola yenye nyenzo zote za taifa hili kuiba uchaguzi.

Hata hiyo katiba na tume huru, CHADEMA kama hicho kikundi hawakuwa na ubavu wa kulazimisha dola ikubali viwepo. Labda kwa mtu asiye na picha ya dola hapa nchini ni nini hasa.

TUANGALIE PICHA KUBWA. NI nani hasa anayeibiwa uchaguzi? Ni kweli kuwa wagombea wa CHADEMA na chama chao kuna manufaa ya kiuchumi na hadhi wanayopata kwa kushinda majimbo ya uchaguzi. LAKINI hao na familia zao ni watu wachache sana ambao uwepo wao hapa duniani ni mfupi sana. Umuhimu wao uko kwenye kazi wanayotarajiwa kuifanya Wakichaguliwa na wananchi.

Wanufaika wakuu wa uchaguzi ni wananchi milioni 60+. Wao ndio wanajua ni wagombea gani wa chama kipi watawapa uongozi na uwakilishi bora. Sasa kama dola inapora ushindi wa wagombea waliochaguliwa na wananchi halafu watu wanawazodoa wagombea na chama chao (kikundi) kwa kutopambana na vyombo vya dola kuzuia kuporwa kwa kura za wananchi basi tuna nchi ya ajabu sana hii. Sijui wangapi wanafurahia bunge la sasa na halmashauri zilivyo.

Kuna wakati nilitamani CHADEMA waachane kabisa na chaguzi hata siasa ili tubaki na chama kimoja na vyama vibaraka kama enzi za Mobutu na Zaire yake. Labda watu watapata somo. Lakini nikakumbuka kuwa ni jeuri ya CHADEMA kuendelea kuwepo ndiyo inayodhihirisha jinsi mfumo wa uongozi wa nchi na siasa ulivyooza na jinsi sisi raia tulivyo gutless mbele ya genge la mafisadi.

Pia sioni tatizo makada wa CHADEMA wakipata manufaa yao madogo ya kiuchumi kutoka keki ya taifa kwa kazi yao muhimu wanayotufanyia wakati sisi tunaendekeza ujinga mbele ya watawala badala ya kujiunga na kuongeza nguvu ya mapambano. Uwepo wao angalau unatupa mwanga wa matumaini kwamba bado wapo watu wenye guts nchini. One day things might change.
Lazima kuwe na pa kuanzia. hata SA kilikuwa ni kundi dogo lkn at the end of the day here they are! haya mambo yanaweza kugeuka yakaingiza na makundi/watu usio watarajia (kuwataja sitawataja)....
 
Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
UCHAGUZI UJAO UTAKUWA KAMA ULIVYOKUWA UCHAGUZI WA 2019 NA 2020 WAKATI WA UTAWALA KATILI WA MWENDAZAKE MAGUFULI
 
Lazima kuwe na pa kuanzia. hata SA kilikuwa ni kundi dogo lkn at the end of the day here they are! haya mambo yanaweza kugeuka yakaingiza na makundi/watu usio watarajia (kuwataja sitawataja)....
Mkuu Usisumbuke sana. Hii nchi bado sana. Leo hii CHADEMA pekee pamoja na ujasiri wa makada wao hawawezi kufanya kitu cha maana mbele ya Polisi (ambao nao ni victims wa system). Ujinga umeenea maeneo yote. Wengi wanaamini wanaweza kujipigania kibinafsi na kuwazidi wenzao (fahari ya Mswahili). Hakuna anayejali mustakabali wa taifa.

Naamini kuna kizazi kinaribia kitakachokuta maji yamefika shingoni kitachukua hatua stahiki kama yaliyowapata kina Nikolae Ceausescu wa Romania mwaka 1989. Watawala wa CCM nao wanazidi kujisahau na kujirundikia maslahi na fursa kibao wao na familia zao na wapambe wao huku huduma za jamii, fursa na stahiki za wananchi wa kawaida zikizidi kubanwa. Wanaamini katika “ujanja kuwahi; ujanja kupata”.

Yaleyale ya kina Ceausescu walioshindwa kabisa kusoma alama za nyakati na mood ya umma. Wakaongeza kasi ya kujaza machawa na kumwaga propaganda za kikomunisti hadi walipozolewa na mafuriko ya umma na kuishia kwenye kangaroo court na firing squad. Nchi ikapona na leo hii ni nchi yenye uchumi wa hali ya juu, pato kubwa na ukuaji wa kasi zaidi katika nchi za EU. Kifo cha Ceausescu na mke wake kwa firing squad ndio ilikuwa hukumu ya mwisho ya kifo katika nchi ile.
 
Back
Top Bottom