Yaliyotokea Leo Chamazi baina ya Azam vs Coastal Union ni aibu kubwa sana kwa soka letu Tanzania

Mkuu ila Kombe la Dunia si ni sheria mpya hizo? Una uhakika katika ligi ya sasa, sheria hizo zimeshakuwa adopted maana sheria mpya zinachukuliwa mwanzoni kwa msimu siyo katikati?
Sio sheria mpya zipo siku zote ni vile tu wakati huu ndo zimekaziw sana Hasa kombe la dunia Colina alitoa ufafanuzi wa kueleweka
 
Kwahiyo kama mpira haujachezwa kabisa kutokana labda na medical emergency kwenye dk zilizoongezwa mpira uishe dk hizo zikiisha??..

Lazima mpira uchezwe hadi dk hizo zitimie.refa anatumia tu stop watch kumonitor hizo dk
 
Acheni wivu [emoji23][emoji23][emoji23]
Game ya Jana nimeangalia na refa hana kosa lolote

Kama waliotegemea kuzurula halafu filimbi ipigwe muda huo huo basi imekula kwao

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo kama mpira haujachezwa kabisa kutokana labda na medical emergency kwenye dk zilizoongezwa mpira uishe dk hizo zikiisha??..

Lazima mpira uchezwe hadi dk hizo zitimie.refa anatumia tu stop watch kumonitor hizo dk
Sidhani kama uko sahihi.
 
Hapana,zikiongezwa dakika 4 na mkaanza kunilaza laza,refa anakuwa anasimamisha muda mpaka dakika 4 za mchezo zifike!
Fikiri kama zimeongezwa dakika 4,halafu golikipa akajifanya kaumia!Na Unajua golikipa anatibiwa uwanjani!Vp kama anakuja kunyenyuka dakika za nyongeza zimeisha?Refa apige kipenga kumaliza mchezo?
Kama umeangalia kombe la dunia basi usitumbue macho,chukua mawili matatu utanue wigo wako wa masuala mbalimbali ya mpira!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…