Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Sio sheria mpya zipo siku zote ni vile tu wakati huu ndo zimekaziw sana Hasa kombe la dunia Colina alitoa ufafanuzi wa kuelewekaMkuu ila Kombe la Dunia si ni sheria mpya hizo? Una uhakika katika ligi ya sasa, sheria hizo zimeshakuwa adopted maana sheria mpya zinachukuliwa mwanzoni kwa msimu siyo katikati?