Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
- #21
Hahahaha! Acha kupindisha maandiko mkuu. Punde unaweza kushauri tuwapige mawe hadi kufa wale wenye michepuko!Walichopanda ndicho watakachovuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha! Acha kupindisha maandiko mkuu. Punde unaweza kushauri tuwapige mawe hadi kufa wale wenye michepuko!Walichopanda ndicho watakachovuna
Na wakija kidiplomasia unaenda nao kidiplomasia vilevile wakija kijeshi unaenda nao hivyohivyoMwanajeshi utumia nguvu kutatua tatizo mwanadiplomasia utumia akili kutatua tatizo
Nadhani wewe mtu akiongea kitu ambacho hukubaliani nacho basi atakuwa ni Chadema au Mkenya, sivyo? Jifunze kuongea kwa hoja badala ya tuhuma, huo ndio uungwana katika jamii.Naona Wakenya mnaendelea kutoka mashimoni mlipokuwa mmejificha.. Bado dawa yenu inachemka..
Wewe tuliza kitesi huko ebhooNakumbuka katika kuteua wakuu wa mikoa muda fulani uliopita, Raisi Magufuli alisema kwamba alikuwa akiteua wakuu wa mikoa ya mipakani wengi wakiwa wanajeshi ili kusaidia katika suala la ulinzi mipakani. Lakini sasa, migongano na nchi jirani za Kenya, Zambia, Rwanda na hata Uganda zimetufundisha na kutupa onyo juu ya umuhimu wa kuhakikisha kwamba wakuu wa mikoa ya mipakani wanapaswa kuwa watu wenye uwezo mkubwa wa kidiplomasia.
Ukichukulia Tanga na Kilimanjaro kwa mfano, tumeshuhudia wakuu wa mikoa wakichochea badala ya kuzima moto wa jazba uliojitokeza kati yetu na Kenya, hadi kufikia hatua ya kuwakejeli viongozi wakuu wa nchi jirani! Sasa hii ni hatari sana, na tusipoangalia inaweza kuleta machafuko kufikia wananchi wa mipakani kuanza kupigana na watu wa nchi jirani na hata kuuana. Na mazingira kama hayo yanaweza kufikia hatua ya polisi au jeshi kuingilia kati, na hata risasi kupigwa dhidi ya nchi jirani na kuzua mpambano wa askari wenye silaha.
Sio vibaya kuweka wanajeshi kama wakuu wa mikoa ya mpakani, kwa kuwa wapo wanajeshi wanaojulikana kuwa mahili katika masuala ya diplomasia. Hata hivyo, kama ni suala la ulinzi mipakani ni vema kuwa na kambi za jeshi katika kila mkoa wa mpakani, na wakuu wa kambi hizi wakawa sehemu ya kamati za ulinzi za mkoa ambazo zinasimamiwa na wakuu wa mikoa.
Hata hivyo, kipaombele kiwe kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani ambao ni raia na watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya diplomasia. Na ikibidi, wakuu wa mikoa ya mipakani wawe wanapitia mafunzo maalumu ya diplomasia kabla ya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.
Ningependa kushauri kwamba mabadiliko haya yafanyiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Mkuu, umeongea jambo ambalo watu wengi sana wameniambia, kwamba reaction zote zilizofanywa na wakuu wa mikoa katika huu mtifuano lazima zilikuwa maagizo toka juu. Sitaki kabisa kuamini hilo, na labda basi mimi niko "naive" kufikiri kwamba hatuwezi kuwa na kiongozi asiye na busara kiasi hicho. Kama kweli huo ndio uongozi tulio nao, basi twapaswa kuogopa sana!
Unajua uungwana ni sifa, sio udhaifu. Ukikumbuka hilo maisha yako nyumbani, kazini hata na jirani zako yatakuwa mazuri sanaHio ndio dawa yao. Ilibidi wakuu wote wa mikoa mipikani wafanye kama Tanga. Ingependeza sana.
Tuoneshane makali kidogo kidogo
Hehe ndo hivyo boss!!! Mbona Rwanda wamekuja vizuri na tumeenda nao hivyo.Hahahaha! Acha kupindisha maandiko mkuu. Punde unaweza kushauri tuwapige mawe hadi kufa wale wenye michepuko!
Mkuu, unajua inawezekana Rwanda waliamua kuwa na diplomasia kuliko sisi ndio mana tatizo pale likaisha, umefikiria hilo?Hehe ndo hivyo boss!!! Mbona Rwanda wamekuja vizuri na tumeenda nao hivyo.
RC Shigela sio mwanajeshi,nadhani point yako ni kwamba RC's wa mikoa ya mipakani lazima wawe na uelewa na diplomasia,hata hvyo RC wa kigoma kwa mfano alishakuwa mwambata wa kijeshi katika ubalozi wa Tanzania MarekaniNadhani Tanga, Kilimanjaro huyu mama sidhani kama alishakuwa mwanajeshi. Lakini hiyo ilikuwa kauli ya ujumla, hakuna tuliposema Mkuu wa mkoa Tanga na Kilimanjaro ni wanajeshi. Ila Magufuli alisema anataka kuweka wanajeshi mikoa ya mipakani kama Kigoma na Kagera ili wasaidie masuala ya ulinzi mipakani
Nasikia hivyo Mkuu, ila sitaki kuamini kuwa ni kweli!Mkuu hiyo reaction ya hao RC's ni maagizo ya jiwe direct.
Hebu Wape Ushaur hawa waliokosa dipolo.masia wafanye nn cha kidipolomasia ili wadeal na kukosa "diplomasia" kwa Rais wa nchi jiran.Nakumbuka katika kuteua wakuu wa mikoa muda fulani uliopita, Raisi Magufuli alisema kwamba alikuwa akiteua wakuu wa mikoa ya mipakani wengi wakiwa wanajeshi ili kusaidia katika suala la ulinzi mipakani. Lakini sasa, migongano na nchi jirani za Kenya, Zambia, Rwanda na hata Uganda zimetufundisha na kutupa onyo juu ya umuhimu wa kuhakikisha kwamba wakuu wa mikoa ya mipakani wanapaswa kuwa watu wenye uwezo mkubwa wa kidiplomasia.
Ukichukulia Tanga na Kilimanjaro kwa mfano, tumeshuhudia wakuu wa mikoa wakichochea badala ya kuzima moto wa jazba uliojitokeza kati yetu na Kenya, hadi kufikia hatua ya kuwakejeli viongozi wakuu wa nchi jirani! Sasa hii ni hatari sana, na tusipoangalia inaweza kuleta machafuko kufikia wananchi wa mipakani kuanza kupigana na watu wa nchi jirani na hata kuuana. Na mazingira kama hayo yanaweza kufikia hatua ya polisi au jeshi kuingilia kati, na hata risasi kupigwa dhidi ya nchi jirani na kuzua mpambano wa askari wenye silaha.
Sio vibaya kuweka wanajeshi kama wakuu wa mikoa ya mpakani, kwa kuwa wapo wanajeshi wanaojulikana kuwa mahili katika masuala ya diplomasia. Hata hivyo, kama ni suala la ulinzi mipakani ni vema kuwa na kambi za jeshi katika kila mkoa wa mpakani, na wakuu wa kambi hizi wakawa sehemu ya kamati za ulinzi za mkoa ambazo zinasimamiwa na wakuu wa mikoa.
Hata hivyo, kipaombele kiwe kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani ambao ni raia na watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya diplomasia. Na ikibidi, wakuu wa mikoa ya mipakani wawe wanapitia mafunzo maalumu ya diplomasia kabla ya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.
Ningependa kushauri kwamba mabadiliko haya yafanyiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Meaning what exactly? Kindly unfold!Welcome to the one man show session
Nasikia hivyo Mkuu, ila sitaki kuamini kuwa ni kweli!
That is very simple. Unapo deal na mtu mwenye kukosa diplomasia onyesha diplomasia!Hebu Wape Ushaur hawa waliokosa dipolo.masia wafanye nn cha kidipolomasia ili wadeal na kukosa "diplomasia" kwa Rais wa nchi jiran.
Naomba uwape USHAURI ambao n Substantive
Inawezekana kabisa,upo sahihi...Lakini pia inawezekana majirani zetu wa kaskazini-mashariki wana diplomasia ya chini mno kuliko sisi...Rais wetu si alitangaza hatafunga mipaka kutokana na majirani zetu kutegemea bidhaa kutoka kwetu hasa chakula na wengine za bandarini? Hapo tu diplomasia alishaionyesha....Sasa walimwamsha aliyelala walitegemea nini? Hawa walijiamini sana na kuona hakuna atakayewatikisa zone hii...Let's see who is who.Mkuu, unajua inawezekana Rwanda waliamua kuwa na diplomasia kuliko sisi ndio mana tatizo pale likaisha, umefikiria hilo?
The show has one DJ, one MC, one dancer 🕺🏾, you are just here to answer the chorus.Meaning what exactly? Kindly unfold!
Mkuu, hivi Tanzania tunaweza kuwasema wakenya kuhusu ukabila? Kwani kabila ni nini - kikundi cha watu wenye desturi na mila na lugha sawa. Na ukabila unakuja pale ambapo kikundi kimoja cha namna hiyo kinakuwa na bifu na kikundi kingine, sivyo?Mimi naona Shigela amekuwa mpole ilitakiwa zaidi.Jumuiya ya Africa mashariki ilikufa sababu ya unyang'au wa hawa watu.
Uweke diplomasia na watu walioshindwa kuunganisha makabila yao.
Uncivilized and unmatured society ndo utumia principal ya Moto kwa motoNa wakija kidiplomasia unaenda nao kidiplomasia vilevile wakija kijeshi unaenda nao hivyohivyo