Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
- Thread starter
-
- #41
Hahaha! Problem with people like me, we are never satisfied with the status quo. We feel there is always room for improvement or enhancement, no matter how dire the circumstances are!The show has one DJ, one MC, one dancer 🕺🏾, you are just here to answer the chorus.
Nakumbuka katika kuteua wakuu wa mikoa muda fulani uliopita, Raisi Magufuli alisema kwamba alikuwa akiteua wakuu wa mikoa ya mipakani wengi wakiwa wanajeshi ili kusaidia katika suala la ulinzi mipakani. Lakini sasa, migongano na nchi jirani za Kenya, Zambia, Rwanda na hata Uganda zimetufundisha na kutupa onyo juu ya umuhimu wa kuhakikisha kwamba wakuu wa mikoa ya mipakani wanapaswa kuwa watu wenye uwezo mkubwa wa kidiplomasia.
Ukichukulia Tanga na Kilimanjaro kwa mfano, tumeshuhudia wakuu wa mikoa wakichochea badala ya kuzima moto wa jazba uliojitokeza kati yetu na Kenya, hadi kufikia hatua ya kuwakejeli viongozi wakuu wa nchi jirani! Sasa hii ni hatari sana, na tusipoangalia inaweza kuleta machafuko kufikia wananchi wa mipakani kuanza kupigana na watu wa nchi jirani na hata kuuana. Na mazingira kama hayo yanaweza kufikia hatua ya polisi au jeshi kuingilia kati, na hata risasi kupigwa dhidi ya nchi jirani na kuzua mpambano wa askari wenye silaha.
Sio vibaya kuweka wanajeshi kama wakuu wa mikoa ya mpakani, kwa kuwa wapo wanajeshi wanaojulikana kuwa mahili katika masuala ya diplomasia. Hata hivyo, kama ni suala la ulinzi mipakani ni vema kuwa na kambi za jeshi katika kila mkoa wa mpakani, na wakuu wa kambi hizi wakawa sehemu ya kamati za ulinzi za mkoa ambazo zinasimamiwa na wakuu wa mikoa.
Hata hivyo, kipaombele kiwe kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani ambao ni raia na watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya diplomasia. Na ikibidi, wakuu wa mikoa ya mipakani wawe wanapitia mafunzo maalumu ya diplomasia kabla ya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.
Ningependa kushauri kwamba mabadiliko haya yafanyiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Mmmh, hapo ndipo umejitahidi ukafikia uwezo wako wa juu wa kuona umeongea point katika thread hii?Wakikuyu mtajulikana mwaka huu..njaa mbaya sana
Diplomasia.ya.nini.wewe watu wamelenga.kabisa kuuangamiza.uchumi wa nchi yakoHata hivyo, kipaombele kiwe kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani ambao ni raia na watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya diplomasia. Na ikibidi, wakuu wa mikoa ya mipakani wawe wanapitia mafunzo maalumu ya diplomasia kabla ya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.
Satu, Satu, Satu, umekuja huku Mkuu? Nitakupa wazo moja la kifilosofia nataka utafakari. Fikiria unaenda katika nchi ambayo watu wake wote hawana pua, na wewe peke yako ndio una pua. Unafikri nani ataonekana kilema wa maumbile?Mkuu, samahani, kwa nia njema kabisa, nataka niseme hapa kwamba hicho unchokiita 'kidiplomasia' hukielewi sawasawa. Unadhani wakuu wa mikoa ya Tanga na Arusha walitangaza bila Rais wa nchi kujua? Hujui kwamba hiyo pia ni aina ya diplomasia? Je, unajua sifa za viongozi wa mipakani kwa nchi za jirani? Nimeona post yako nyingine ukijenga hoja kwamba Tanzania inaanzisha ugomvi (confrontation) na nchi za jirani -- na kwakweli hukuwa na taarifa za kutosha kuipa hoja yako uzito. Nakushauri, kama una 'interest' ya kubobea kwenye masuala ya kidiplomaisia, kama unavyoonekana hapa, itabidi upige shule sana, na uwe 'open minded'.
Eti professionalism chadema kuna professionalism? Mngemuweka mwenyekiti chadema taifa Mbowe division zero form six?Baba yetu haamini kwenye mambo ya professionalism,ndio maana una muona Mwiguru Nchemba mchumi by professional sasa ni Waziri wa sheria na katiba.
Kenya wanaangamizaje uchumi wa nchi yetu kwa kuzuia wenye corona wasiingie nchini mwao? Na yule aliyeongea leo ni balozi wa Tanzania nchini Kenya - hivyo ni Mtanzania sio Mkenya. Balozi wa Tanzania nchini Kenya hawezi kuwa balozi wa Kenya, ni balozi wa Tanzania. Kama vitu vidogo hivi vinakuchanganya, sidhani kama unapaswa kuchangia hizi mada kubwa, labda ni vema ukawa msomaji tu.Diplomasia.ya.nini.wewe watu wamelenga.kabisa kuuangamiza.uchumi wa nchi yako
Balozi wa kenya tayari ameanza kulia
Welcome to the one man show session
Kwa hiyo professionalism maana yake kufaulu mitihani au kuwa msomi? Kwa kuwa CCM inaongozwa na mwenyekiti Magufuli mwenye PhD ya Chemistry basi CCM wana professionalism, sivyo?Eti professionalism chadema kuna professionalism? Mngemuweka mwenyekiti chadema taifa Mbowe division zero form six?
Kenya walidhamiria kuua utalii wetu wakati wao wamewekwa ndani kama wanawari wa kizaramoKenya wanaangamizaje uchumi wa nchi yetu kwa kuzuia wenye corona wasiingie nchini mwao? Na yule aliyeongea leo ni balozi wa Tanzania nchini Kenya - hivyo ni Mtanzania sio Mkenya. Balozi wa Tanzania nchini Kenya hawezi kuwa balozi wa Kenya, ni balozi wa Tanzania. Kama vitu vidogo hivi vinakuchanganya, sidhani kama unapaswa kuchangia hizi mada kubwa, labda ni vema ukawa msomaji tu.
Wajinga sana Kenya wao ndio walikuwa wakituchafua kimataifa kuwa tumejaa mi corona kila kona kwenye press hadi za kimataifa ohh imebaki sehemu moja tu ndio inatuletea corona ambayo ni Tanzania wakawa wanatuataja kabisa heri wangechukua tu measures lakini sio kupiga tarumbeta kuwa mitanzania imejaa mi coronaDiplomasia.ya.nini.wewe watu wamelenga.kabisa kuuangamiza.uchumi wa nchi yako
Balozi wa kenya tayari ameanza kulia
za kuambiwa changanya na za kwako, unafikiri ni mkuu wa mkoa upi ana ubavu wa kufunga mpaka? hayo yalikuwa ni maagizo ya magufuli mwenyeweNakumbuka katika kuteua wakuu wa mikoa muda fulani uliopita, Raisi Magufuli alisema kwamba alikuwa akiteua wakuu wa mikoa ya mipakani wengi wakiwa wanajeshi ili kusaidia katika suala la ulinzi mipakani. Lakini sasa, migongano na nchi jirani za Kenya, Zambia, Rwanda na hata Uganda zimetufundisha na kutupa onyo juu ya umuhimu wa kuhakikisha kwamba wakuu wa mikoa ya mipakani wanapaswa kuwa watu wenye uwezo mkubwa wa kidiplomasia.
Ukichukulia Tanga na Kilimanjaro kwa mfano, tumeshuhudia wakuu wa mikoa wakichochea badala ya kuzima moto wa jazba uliojitokeza kati yetu na Kenya, hadi kufikia hatua ya kuwakejeli viongozi wakuu wa nchi jirani! Sasa hii ni hatari sana, na tusipoangalia inaweza kuleta machafuko kufikia wananchi wa mipakani kuanza kupigana na watu wa nchi jirani na hata kuuana. Na mazingira kama hayo yanaweza kufikia hatua ya polisi au jeshi kuingilia kati, na hata risasi kupigwa dhidi ya nchi jirani na kuzua mpambano wa askari wenye silaha.
Sio vibaya kuweka wanajeshi kama wakuu wa mikoa ya mpakani, kwa kuwa wapo wanajeshi wanaojulikana kuwa mahili katika masuala ya diplomasia. Hata hivyo, kama ni suala la ulinzi mipakani ni vema kuwa na kambi za jeshi katika kila mkoa wa mpakani, na wakuu wa kambi hizi wakawa sehemu ya kamati za ulinzi za mkoa ambazo zinasimamiwa na wakuu wa mikoa.
Hata hivyo, kipaombele kiwe kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani ambao ni raia na watu wenye uwezo mkubwa katika masuala ya diplomasia. Na ikibidi, wakuu wa mikoa ya mipakani wawe wanapitia mafunzo maalumu ya diplomasia kabla ya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi.
Ningependa kushauri kwamba mabadiliko haya yafanyiwe kazi haraka iwezekanavyo.
Vitu vingine acheni kuongea kama hamna point za maana. Utalii wa Tanzania unahusana nini na madereva wa malori toka Tanzania kuzuiwa kuingia Kenya?Kenya walidhamiria kuua utalii wetu wakati wao wamewekwa ndani kama wanawari wa kizaramo
Dereva mtanzania akiingia kenya toka tanzania lazima ataambiwa ana corona
Lakini dereva mkenya akitoka tanzania kurudi kwao tunaambiwa hana!
Nia ilikua ni kuwaogofya watalii wasije
Uko sahihi kabisa walikuwa wakituchafua kimataifa kwa makusudi kabisa .Uzuri watanzania ukiona wameinama waweza dhani wajinga wakiinua kichwa hutaamini watakachokufanyia ghafla kwa spidi ya mweweKenya walidhamiria kuua utalii wetu wakati wao wamewekwa ndani kama wanawari wa kizaramo
Dereva mtanzania akiingia kenya toka tanzania lazima ataambiwa ana corona
Lakini dereva mkenya akitoka tanzania kurudi kwao tunaambiwa hana!
Nia ilikua ni kuwaogofya watalii wasije
Kuonyesha kuwa Tanzania INA maambukizi ya corona ya kufa MTU mfano madereva wote toka Tanzania wakionrkana na corona INA maana asilimia kubwa ya wananchi sana corona ndio perception waliyokuwa wanataka kuipeleka kwa wataliiVitu vingine acheni kuongea kama hamna point za maana. Utalii wa Tanzania unahusana nini na madereva wa malori toka Tanzania kuzuiwa kuingia Kenya?
Na hao watalii wangekujaje Tanzania wakati tulikuwa tumefunga safari za kimataifa? Wakati bifu hizi zinatokea uliona ndege zinatua pale JKIA? Sasa Wakenya wangekuwa wanazuia watalii hewa? Hao watalii wana lockdown kwao kuliko hata ya KenyaKuonyesha kuwa Tanzania INA maambukizi ya corona ya kufa MTU mfano madereva wote toka Tanzania wakionrkana na corona INA maana asilimia kubwa ya wananchi sana corona ndio perception waliyokuwa wanataka kuipeleka kwa watalii
Pia ujue watalii huendeshwa na madereva kwenye kutalii sasa kama madereva wengi wameonrkana na corona mtaliivataogopa kuja kutalii akihofia madereva wenye corona
Ndio chama kuongozwa na wasomi kuna professionalismKwa hiyo professionalism maana yake kufaulu mitihani au kuwa msomi? Kwa kuwa CCM inaongozwa na mwenyekiti Magufuli mwenye PhD ya Chemistry basi CCM wana professionalism, sivyo?
Kwa mantiki yako, CUF wanaoongozwa na Lipumba ambaye ni professor wako more professional kuliko CCM.
Sijui kama hadi kapo umejiona usivyojua mambo lakini unakuwa mwepesi kuongea kishabiki?
Lengo ilikuwa kuharibu future makertNa hao watalii wangekujaje Tanzania wakati tulikuwa tumefunga safari za kimataifa? Wakati bifu hizi zinatokea uliona ndege zinatua pale JKIA? Sasa Wakenya wangekuwa wanazuia watalii hewa? Hao watalii wana lockdown kwao kuliko hata ya Kenya
Acheni theory zisizo na mshiko.