Yaliyotokea mpakani na Kenya, Zambia na Rwanda yanaonyesha haja ya umakini kwa Magufuli kuteua wakuu wa mikoa ya mipakani wenye uwezo wa kidiplomasia

Hilo ndilo ninaloshauri kwamba watu wenye mtazamo kama wako kamwe wasije kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa ya mipakani - ni wazi watu wa aina yako mpo wengi!
Unajuaje kama mimi si mkuu wa mkoa? Wewe hujui haya mambo, diplomasia itafuata lakini huu uhuni wa kutuchezea ukomeshwe kwanza. Kama kwa mfano Kenya wanafahamu diplomasia basi wasingekuwa wanasema watanzania wana corona. Yaani wanapima Wakenya na Watanzania wanaotoka Tanzania ati unakuta Watanzania tu ndio wana corona!!! Utadhani Wakenya wakiwa Tanzania hawaongei na hao wenye corona. Waache uhuni.
 
Na CCM katika kipindi cha uchaguzi ilani yao ilisema wanafunzi wakipata mimba wataendelea na masomo! Professionalism?
 
Kwani athari za corona zitaisga leo?chini kabisa maumivu mpaka miaka mitafu ijayo
 
Kwani kufunga mpaka wa eneo lake ni kosa? Mbona wao wanafunga ya kwao? Kwa nini kitu kikifanywa na Tanzania inakuwa nongwa mnaanza kuleta siasa za maji taka? Jino kwa jino tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe wa ajabu sana, wakenya wameihubiria dunia kua wa Tz tuna korona, na wao ndio wa kwanza kufunga mpaka, halafu unakuja hapa eti ooo bla bla blaa, nina hakika wewe sio mtanzania, shame on you, diplomasia gani utumie kwa mtu ambae ame ku underrate
 
Unajua uungwana ni sifa, sio udhaifu. Ukikumbuka hilo maisha yako nyumbani, kazini hata na jirani zako yatakuwa mazuri sana
Na wao wakiwa waungwana ndio vizuri. Sio unaonewa unajifanya malaika. Tunapambana hatumwachii Mungu.
 
Sisi tuna ma carona mengi tu watanzania kwani uongo
 

Upuuzi mtupu, ulitaka wakuu wa mikoa ndo waende kulialia kwa wakenya ambao wanatunyanyasa? Mbona hukuwashauri hao wakenya wakati madereva wetu wkilalamika kunyanyaswa?
Sisi pia tumechukua hatua kama taifa huru, kama wao walivyoona ni vema kutuzuia,
Kama ni uhitaji kila mtu anamtegemea mwenzake, dipromasia sio mmoja aumie tuu,
Ndo maana KIM JONG UN, hataki ujinga ujinga.
 
Bora hata Mama Mghwira alipitaga JKT kwa mujibu wa sheria enzi zake lakini Shigela hata JKT hajapita, mwanajeshi wapi? Shigela ni raia wa kawaida tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…