Yaliyotokea uwanja wa Soikoine yanaleta hasira na kichefu chefu

Yaliyotokea uwanja wa Soikoine yanaleta hasira na kichefu chefu

Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona jangwani pamejaa maji na tope

sijui huwa mnalalamikia nani, tope na mafuriko mlishayazoea na ndiyo maisha yenu
 
Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Tamasha la Wasafi ambao ni Simba. Mgeni rasmi Tulia ni Simba.
Majibu yapo wazi.
 
Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Anayelalamika hivi yeye mwenyewe kiwanja cha kuchezea rede hana,then unaita sokoine jaruba la mpunga.....

Vyura bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakazi wa Mbeya wamekosa nafasi ya kuishangilia timu yao ya Mbeya kwa sababu ya ccm kutaka kumtafutia Ubunge Dr Tulia? Yaani mapema namna hii Dr Tulia anaanza kuonyesha kujipenda mwenyewe kuliko wana Mbeya?
Kawadharau sana Mbeya! Kawaona kama hawana akili kabisa, na hili hawawezi kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kilichotokea uwanja wa Sokoine Mbeya ni matusi, uonevu,kebehi,dharau,na manyanyaso kwa wapenda soka na michezo kwa ujumla.

CCM kwa makusudi huku wakijua kuwa Yanga watacheza mechi kesho tar.27/12/2019, jana wameruhusu kufanyika tamasha la mziki ndani ya uwanja huohuo ambao unasifa ya kuwa na matope km jaruba la mpunga. Tamasha lenyewe naskia lilikuwa la bure sasa kulikuwa na ulazma gani wa kufanya ndani ya uwanja?

Kwa picha nilizoziona uwanja haufai kabsa kuweza kuchezewa mechi ya hadhi ya ligi kuu kesho. Ntashangaa sn km timu zitaridhia kucheza kwenye hilo jaruba. Nitashangaa km Azam Media watakubali kuonyesha mpira kupitia television yao yenye viwango vya kimataifa.Ni aibu. Naskia hata waziri wa michezo Mwakyembe nae alikuwepo kwenye hilo tamasha. Sjui ataongea nn akisikia timu zimegoma kucheza!

Ndio maana huwa nafurahi timu ya Taifa ikifungwa,sababu ya huu usanii,upuuzi, na ubabaishaji unaoendelezwa kwa maksudi. Tukiwaambia waturudishie viwanja vyetu hawataki.

Wanaudhi sn hawa jamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Povu la nini? Kile sio kiwanja cha yanga wala prison wala cha tff. Eboh
 
Wakazi wa Mbeya wamekosa nafasi ya kuishangilia timu yao ya Mbeya kwa sababu ya ccm kutaka kumtafutia Ubunge Dr Tulia? Yaani mapema namna hii Dr Tulia anaanza kuonyesha kujipenda mwenyewe kuliko wana Mbeya?
Kawadharau sana Mbeya! Kawaona kama hawana akili kabisa, na hili hawawezi kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonaje ukielekea jukwaa la siasa...
 
Wakazi wa Mbeya wamekosa nafasi ya kuishangilia timu yao ya Mbeya kwa sababu ya ccm kutaka kumtafutia Ubunge Dr Tulia? Yaani mapema namna hii Dr Tulia anaanza kuonyesha kujipenda mwenyewe kuliko wana Mbeya?
Kawadharau sana Mbeya! Kawaona kama hawana akili kabisa, na hili hawawezi kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni uwanja wao. Wakiamua wanajisaidia haja kubwa kwenye dimba la kati a hamna cha kufanya.
 
Back
Top Bottom