Yamenikuta leo Mama G

Hahahahahahaha pole sana nacheka kama mazuri,,nilichukua ile mop ya kudekia nikaangalia hapo juu kwenye dari nikajisemea naweza kutana na nyoka hukp au nikaumwa na nge bure ,,umenichekesha kumbe we mwenzangu ulikaa sana
Acha mama ile siku ndio nilijua mi ni mwanaume kweli embu fikiria mizoga ya panya imenizingira,joto Kali niko na boksa tu ile harufu ya chakula cha kitimoto, sins simu niko alone ila wazo lilinijia paap
 
Bora umetoka salama maana sipati picha mlango umejifunga hivyo afu humo bafuni akatokea mjusi,mende au panya nadhani leo usingeweza kuandika hapa
Hivyo siogopii angetokea nyoka ningezimia
 
Acha mama ile siku ndio nilijua mi ni mwanaume kweli embu fikiria mizoga ya panya imenizingira,joto Kali niko na boksa tu ile harufu ya chakula cha kitimoto, sins simu niko alone ila wazo lilinijia paap
Pole sana aisee,mi kidogo nilie
 
Usiombe itokee siku either lift ime fail,umepotea msituni,au umejilock alone halafu hakuna msaada
Hapo ndio utajua nobody cares about yourself unless you!
 
Naomba kuuliza choo ni cha public yaani cha ndani lkn ni public Fulani hivi , au ,ulikua master bedroom? Km master bedroom mlango wa nn si unaweka plastic nyepesi ( cjui nimeeleweka)
 
Mawazo yangu yameenda mbali sana ningali nasoma hii kadhia. Nilianza kufikiri na kutafakari siku roho ya binadamu i napoanza kutoka kuwa unakuwa huwezi pata msaada hata kwa mtu yyte ni kila mtu na mola wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…