Yamenikuta leo Mama G

Niliubamiza kwa nguvu ukajilock mpaka kitasa kuchomoka ndio nikachokonoaa hapo baada ya kuhangaika sana
 
Umekosea mlango wa chooni ni wa Mbao akioga Maji yanaumwagikia na yaonesha ni saipilasi si mninga. Aidha aliposafiri hakuacha mtu na anafagia kwa chelewa
Ingekuwa mninga ungekuwaje na kuhusu kujilock
 
Master bedroom nawekaje mlango wa mbao chooni? Ni mwendo wa pazia ya plastic tu ukitoka kuoga kitandani [emoji23] [emoji23]
Mmm bafuni mtu unahitaji privacy bana akija mtu wako ukawa unaharisha kwa nguvu unafanyaje bora mlango ukiwepo unazuia
 
Mmm bafuni mtu unahitaji privacy bana akija mtu wako ukawa unaharisha kwa nguvu unafanyaje bora mlango ukiwepo unazuia
Hahaha, master bedroom pia unaweza kujizua pia lkn,lkn poa nimekuelewa Rafiki, halafu umenichekesha eti ukiwa unaharisha [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha, master bedroom pia unaweza kujizua pia lkn,lkn poa nimekuelewa Rafiki, halafu umenichekesha eti ukiwa unaharisha [emoji23] [emoji23]
Hehehehehe acha mlango ukifunga kelele hazisikiki unafungulia na maji waaaaaaa
 
Siku hizi sitaki kuishi peke yangu kwa sababu ya makero kwanza mm kwa kupoteza funguo sijambooo ndani nimewajaza watu nikienda nikirud nakuta kuna watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…