Yamenikuta leo Mama G

Weka picha halaf acha kutag watu
 
Kijiji ilikua kipindi nko home saivi ninaishi changanyikeni arusha sinoni nilipiga chafya watu wanachungulia dirishani wanajua napiga mzigo!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapo sawa!!!usiombe upatwe na kadhia hyoo uko peke yako weee!Mimi mkono ulinasa kwenye geti vile muda wa kufungua tu DKK 5 nilihisi miaka 5 mawazo yakahama kabisaa
 
Ahaaaa nimeeelewa Jimmie
 
Mmekuelewa kakaa
 
Mijoka,nge nk..mi nilikua siogopi niliogopa njaa na dehydration maana bi Mkubwa alikua kaenda dar kwa wifi yake kwa wiki mbili alafu home nilikua Mimi tu nguruwe,kuku,bwawa la samaki na ng'ombe
Yaani kwa ufupi tungedanja wote
Ahaaaaaa duuu uliwasimulia walisikitika sana nadhani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…