Yamenikuta leo Mama G

Yamenikuta leo Mama G

Kila mwanamke bahili[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ahahahah yaan mim labda anunue mwingine tunywe hata nikipewa hiyo pesa siwezi nunua ntaenda nunua ya 15000,mpenzi huwa akiniambia kanywe kitu fulan baadae ananiuliza hivi umekunywa kweli nikianza kucheka tu anajua sijanywaa na kwelii

Wanawake sie ni bahili kuzidi hata wanaume
 
Ahahahah yaan mim labda anunue mwingine tunywe hata nikipewa hiyo pesa siwezi nunua ntaenda nunua ya 15000,mpenzi huwa akiniambia kanywe kitu fulan baadae ananiuliza hivi umekunywa kweli nikianza kucheka tu anajua sijanywaa na kwelii

Wanawake sie ni bahili kuzidi hata wanaume
Hahaha ,we kiboko ,ofa yangu ni mguu kwa mguu hadi kaunta [emoji23] [emoji23]
 
Hahaha ,we kiboko ,ofa yangu ni mguu kwa mguu hadi kaunta [emoji23] [emoji23]
G wangu hunitumia pesa ya kwenda kunywa sasa mi siku ingine siendi naenda movie ,akinipigia simu mpenzi leo umekunywa wine au whisky namjibu huku nacheka "ndio"sasa nashindwa kujizuia kucheka maana najua sijanywa ananiambia "mama sabrina mama sabrina acha uongo " basi akisema hivyo nitacheka namuambia kweli sijanywa nimeenda movie ,,ananiambia yaan mpenzi wangu we hata pesa ya kupewa unaifanyia ubahilo sikuweziiii[emoji23][emoji23][emoji23]
 
G wangu hunitumia pesa ya kwenda kunywa sasa mi siku ingine siendi naenda movie ,akinipigia simu mpenzi leo umekunywa wine au whisky namjibu huku nacheka "ndio"sasa nashindwa kujizuia kucheka maana najua sijanywa ananiambia "mama sabrina mama sabrina acha uongo " basi akisema hivyo nitacheka namuambia kweli sijanywa nimeenda movie ,,ananiambia yaan mpenzi wangu we hata pesa ya kupewa unaifanyia ubahilo sikuweziiii[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, sasa inabidi awe ananua na kukuwekea kwa fridge ,ila we utakua mchaga au mpare si kwa ubahili/bajeti hizo
 
Dah pole mama Sabrina!! Nina mkasa unaofanana na wako kidogo,kuna siku panya walikua wanasumbua sana kwenye store ya kihifadhia pumba ya kulisha nguruwe!! Siku moja niko free nikasema ngoja niwakomeshe maana nilikua hata nikiwawekea sumu hawali,.
Nikatoa magunia yote ya pumba nikacha moja tu ambalo kwa chini nilikua na mbao ambazo wamejificha humo.
Nikachukua mpini wa jembe nikawasha na taa yenye mwanga mkali nikabamiza mlango paaaah! Ili nikitembeza rungu wasitoke!! Niuwe wote
Nikatoa lile gunia ambalo kwa chini panya wengi wamejificha kwenye zile mbao,walitoka panya wengi wakirandaranda wasione pakutokea!.
Mi nikaanza kutembeza rungu nikaua wote pamoja na vitoto(sikumbuki idadi)
Nakuja kufungua mlango niwatoe nifanye usafi mlango haufunguki!! Vuta wapi kitasa kimejiloku afu home nipo alone simu ipo chaji geto
Nakumbuka nilikaa mle store kuanzia sasa 11 jioni mpaka kesho yake saa 2 asubuhi ambapo nilipata wazo la kutoboa ceiling board nikapita daarini mpaka kutobozea kwenye korido ya geto
Asee niwekee kilo moja roast arifu
 
Masista duu utawajua tu.
Nah nah...how do u take or think when see a lady hold that bottle? With such foams[emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481] [emoji481]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah pole mama Sabrina!! Nina mkasa unaofanana na wako kidogo,kuna siku panya walikua wanasumbua sana kwenye store ya kihifadhia pumba ya kulisha nguruwe!! Siku moja niko free nikasema ngoja niwakomeshe maana nilikua hata nikiwawekea sumu hawali,.
Nikatoa magunia yote ya pumba nikacha moja tu ambalo kwa chini nilikua na mbao ambazo wamejificha humo.
Nikachukua mpini wa jembe nikawasha na taa yenye mwanga mkali nikabamiza mlango paaaah! Ili nikitembeza rungu wasitoke!! Niuwe wote
Nikatoa lile gunia ambalo kwa chini panya wengi wamejificha kwenye zile mbao,walitoka panya wengi wakirandaranda wasione pakutokea!.
Mi nikaanza kutembeza rungu nikaua wote pamoja na vitoto(sikumbuki idadi)
Nakuja kufungua mlango niwatoe nifanye usafi mlango haufunguki!! Vuta wapi kitasa kimejiloku afu home nipo alone simu ipo chaji geto
Nakumbuka nilikaa mle store kuanzia sasa 11 jioni mpaka kesho yake saa 2 asubuhi ambapo nilipata wazo la kutoboa ceiling board nikapita daarini mpaka kutobozea kwenye korido ya geto
Hahahahah
 
Back
Top Bottom