Yamenikuta, maji yapo shingoni, naomba ushauri wapendwa plse!

Well said man! nadedicate kwako ule wimbo unaosema...mamaaa you are the queen of my heart.....


Asante sana mkuu,..Upo mwingine kaimba Alice May nausikiza sasa title ni "mother how are you today" dah i miss my mama
 
WAKUU WANA JF,

Napenda kuchukua nafasi hii kuwashukuru watu wote waliopitia thread yangu na kunichangia maoni yao/ ushauri kadiri ya nilivyo-present tatizo langu. Ushauri mwingi umetolewa na nyie ma-great thinkers, I real appreciate it, sina neno zuri la kusema kwenu zaidi ya ASANTE. Nawahaidi kuwa kila ushauri uliotolewa nitautafakari kwa kina na hatimaye baadae nifanye maamuzi sahihi.

MUNGU IBARIKI JF, MUNGU WABARIKI WANA-JF WOTE WAPATE KUWA NA AMANI NA KUISHI MIAKA MINGI ZAIDI.

ASANTENI SANA
 

Yeye ni mtu wa kaskazini na mimi ni mtu wa kusini
 
Ulichompendea huyo mwanamke nini mpaka ukubali kufunga nae ndoa wakati ukijua kuwa alikuwa hawapendi wazazi wako, hawapendi ndugu zako na kubwa zaidi hazai?? Kama umefunga nae ndoa ya Kikristu ndugu yangu yangu mzigo ni wako hakuna kuutua labda upate mtu wa kukusaidia kama yule Simon Mkrine aliyemsaidia Yesu kubeba msalaba wake!!
 
MALI, MALI, MALI. Usifungwe na mali, mali tunaziacha tu hapa hapa udongoni. Bora uanze mapema kutengeneza maisha mapya. Ukiwa na furaha na amani utatengeneza mali x 1,000,000 ya hizo.
 
Huyo mwanamke achana naye brotha..damu nzito kuliko maji..mtu kama hawataki ndugu zako we wa nini!..kuhusu ishu ya mali sio kitu..utapata nyingine..labda ndo shida yake.
 





Nyambura karibu sana kaka. Pole saana kwa tatizo lako, kutokana na opinion yangu inayotokana na the fact kua umetaja madhaifu ya mke wako mengi ambayo kweli si mazuri na bahati mbaya zaidi ni ya msingi sana for a marriage to survive. Ukilazimisha kua na huyo mke wako ujue kwamba familia yako automatically itajitenga from your whole family which is very bad. Siri ya mwanaume kua na amani katika ndoa yake ni kuoa mwanamke mwenye busara na ufikiri na hata akikosa hivyo walau awe sensitive. Una bahati its not too late mana hana mtoto, umejua tabia yake ni mbovu, ni jeuri (why would you want such a woman; stress za kazini utamplekea nani?) . Siwezi kukuambia muache lakini kaka tafadhali tafakari. Alafu huyo mtoto ukirudi mlete town, mpe access ya vitu ambavyo hawezi pata kijijini kwani ulimwengu umebadilika mno Ignorance haina nafasi.

And pleeease I believe you are young, hutakua affected kivile mkigawana hivyo vitu, to me i know its worth it.
 
What Mali mkuu,mwenzako niliacha kila kitu,niliondoka na Begi la nguo huu ni mwaka wa 7 ,maisha yapo bomba.Mali utapata tu.Kwani hizo ulizonazo ulizipataje mkuu?gari after 4 yrs zinakuja model nyingine!unakumbuka enzi za baloons..... Je at this time Baloons ni Gari ya kumkosesha mtu usingizi?
Get out before its too late.UKIPENDA BOGA upende na UA lake
 





Ulo ongea ni kweli lakini kumbuka kua katika maelezo ya jamaa hata mdada mwenyewe anamjeuria jamaa live. Mwanamke ambae amemshiba mwenza wake hatoi option ya kuachana.
 
NOTE:
Mwanamke ndiye anaweza kuharibu au kudumisha ndoa yake tena kwa mikono yake mwenyewe[/QUOTE]




Exactly. Mwanamke akiamua leo hii ndoa yake ivunjike inavunjika, whereas mwanaume akiamua possibility ya kutovunjika ni kubwa
 
 
mm nnachoweza kukwambia m2 wangu hebu jalibu kushusha upendo au fanya kama na wewe umepasahau nyumban kwa huyo mwanamke hata kama atakachokwambia jalibu kukipuudhia na pia jalibu kuonyesha haumjal uone kama hajarud kwny mshar
 
duh pole sana kaka ila yakubidi uchunguze chanzo cha mkeo kuchukia nduguzako inawezekana ndugu zako wakawa hawampendi mkeo ndio maana na yeye hawapendi.....cha kufanya nenda kaseme kwa ndugu wa mkeo ili wamkanye mtoto wao na akishindwa kubadilika mpe likizom ya japo mwaka akakae kwao then atajifunza na km hiyo haitoshi mpe talaka bila kuangalia eti kugawanamali... mali si kitu mbele ya maisha angalia future yako kwanza
 
Wanawake wengi wa Kichaga wana tabia hii, huwa hawapendi kabisa ndugu wa mume kuja nyumbani kutembea, hapa nina maana asilimia kubwa ya wanawake wa kichaga si wife material. Naomba mniwie radhi kwani hili nimeliona kwa watu wengi saana
 

Siyo njia sahihi ya kusolve tatizo kwani kwa wengine inaweza kusababisha matatizo zaidi visa, visasi zaidi cha msingi huyu jamaa ni kukaa na mke wake nakuju nini kimefanya awe hivyo bila kusahau principle zako ulizojiwekea toka awali kama alikuwa anazufuata na kuzieshimu na unaona amechange jaribu kumkumbusha akionekana ni mkaidi mpe trial ya kuseparate for time being then utapata the true color ya kinachoendela.
 
pole sana tatizo hujazaa nae ukishazaa nae tu yote hayo yataisha
 
kiongoz kwanza pole sna cha msingi hapo usiangalie mali angalia maisha unayoishi yanafaida ukiwa nae kwan hawapendi ndugu zko tena wote sio baba mama kibaya zaid hata ukisafir haendi ukwen kusalimia hyo kuna kitu anajivunia au ukisafir kuna mtu anamega kisela ujawah chunguza coz jeur anatoa wap piga chini gawana nae mali utapta nyingine kuliko hzo thx
 
Pole sana, mali, future ya mwanao na future yako=tafakari chukua hatua. Pia angalia na ndg zako. Ndg wengne wana gubu sana hasa hvyo uko ughaibuni. Inawezekana kabisa wanamuona mkeo anawazibia. kaa na pande zote watoe madukuduku. Kuna kitu ndgu zako wamemkwaza. Na kuna baadh ya watu washajenga wanawake wa kaskazin wanachuma tu mali isije kuwa imewasumu ndgu zako.
 
Yani hayo yote ya kutompenda mtoto wako au ndugu zako ndo umeyajua leo au ulikua unayajua tangu mwanzo ukajifanya kichwa ngumu na kumuoa hivyo hivyo????Ukishajibu ushauri utatoka kuendana na tatizo lako!
Lizzy unautani na ID yangu?
 
Unakuanaye wa wanini? achana nae hakuna mke hapo.
wenzio tuna wake wazazi wanatuambia ukimwacha huyo tunakupa lana wewe unamke ukimwacha wanafurahia.
kwenye harusi yako mambo yalikuwaje?
wazazi na ndugu walitoa ushirikiano wa kutosha au ulilazimisha? ulipokua unaoa ulishirikisha wazazi au ndio mambo ya town?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…