YAMENIKUTA MAMBEMBE

We chekelea kufungwa hivyohivyo
Chupi hiyo atakuwa kampelekea mbwa wake anuse azoee harufu ya papuchi yako ili siku akimleta akinusa tu anaparamia mzigo huku akiwa ashakufunga miguu tayari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndiyo mshahara wa kutukataa sisi wabongo na kuona kuwa umeruka mkojo kumbe umeenda kuangukia kwenye mavi!
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…nahisi bidada wa ughaibuni kwake ilikuwa fureshi tu maana alishapitia sana hizo,au yeye ndo alitoa wazo..
Hapana mkuu, hilo wazo nilitokanalo huku Ushirombo maana hizo mambo tulikua tunazifanya miemgeni enzi za kombolela..tehteehh
 
Kuna mwenzako humu kipindi mapenzi yanaanza, alinyolewaga mavuz* na dem wake kabla hawajakatana. Walipomaliza dem akaondoka nayo akasema anaenda kuyatupa nje.

Baada ya wiki mbili jamaa anataka kumbwaga yule demu ili aende kwingine. Yule dem akamuuliza "Hivi unajua zile nywele za cku ile zako wapi?" Jamaa anajibu hajui. Dem akamwambia sasa ww niache ndio utajua zilipo.


Sasa ww endelea na huyo mtanganyika unayemuita black america

Sent using Jamii Forums mobile app
 
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜ฎ๐Ÿ˜ฎmtanganyika tena jamani mwacheni dada mambembe na m'black America wake,amewapa lifti mnataka kupiga na honi
 
Kusema ukweli nakuhurumia sana na nikutangulizie pole kama ya majanga yanayokunyemelea hayajakufika
 
Hapati kizungu zunguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umempa ukweli mpya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ