Yamenikuta mwenzenu

Yamenikuta mwenzenu

nimependa tu vimiguu vyako.

unalia kuruga gani nami nkusaidie kulia aaaah hiiiii oooooh mamaaaaa nimeachwaaaaa jamaniiiiiiiiiii uuuuuuuwi dadaaaaa njooooo nakufaaaaa uuuuuuuuwi jaman baby nisameheeee sitarudiaaaa nakupendaaa aaaaaaaah
 
nimependa tu vimiguu vyako.

unalia kuruga gani nami nkusaidie kulia aaaah hiiiii oooooh mamaaaaa nimeachwaaaaa jamaniiiiiiiiiii uuuuuuuwi dadaaaaa njooooo nakufaaaaa uuuuuuuuwi jaman baby nisameheeee sitarudiaaaa nakupendaaa aaaaaaaah
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hadi nimecheka
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hadi nimecheka
ndio nilitaka ucheke maana umelia usiku kucha

wewe muache tu Mungu anamuona na akumbuke malipo ni hapa hapa duniani wewe muombe tu Mungu wako ipo siku utanambia.

bado unataka nikusadie kulia?
 
ndio nilitaka ucheke maana umelia usiku kucha

wewe muache tu Mungu anamuona na akumbuke malipo ni hapa hapa duniani wewe muombe tu Mungu wako ipo siku utanambia.

bado unataka nikusadie kulia?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kabisa.....pia nmemwachia mungu lkn kama ujuavyo maumivu hayaepukiki kwa mtu uliempenda kwa dhati
 
[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]leo nmelia sana mpaka sasa sina usingizi siku yangu naiona ndefu ni kama miaka mpaka siku hii kuisha[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] binadamu jamani

Ngoja niweke story yenyewe ila sihitaji PM

Nilikuwa na mpenzi nakiri nilimpenda kwa hali zote.sikua nahitaji pesa wala Mali kutoka kwake nilimpenda ,nilimjali na kumheshimu lakini alibadilika gafla na kuanza kupunguza mawasiliano sikushangaa sana nikajua lambdani shughuli zina mfanya awe hvyo. kwahyo nikaendelea kumvumilia lakini mwisho uvumilivu ulinishinda nikawanamsihi kirafiki tu kama haniitaji aniambie. Lakini ndani ya miaka miwili ya mahusiano jana ananiambia anampenzi na familia yao inampenda sana huyo binti kwahyo hawezi kuwa na mimi
Hizi stori ziko sana, ulitakiwa ujue wewe sio wakwanza kutendwa hivi na kuna maisha baada ya kuachwa
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kabisa.....pia nmemwachia mungu lkn kama ujuavyo maumivu hayaepukiki kwa mtu uliempenda kwa dhati
kwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?

ni hivi nna uhakika miaka mitano nyuma hata ulikua humjui sasa nashangaa anakuliza.

kata mti panda mtu kata mti panda mti

tena chagua mti ule ambao unatoa matunda.

nakuhakikishia ukirudi miaka mitano nyuma waaala hata ulikua huwa kuwa nae.

hangaika na maisha yako na ndugu zako uliozaliwa nao tumbo moja sio hawa wajujuu juuu ha ha ha ha

samahani lkn
 
kwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?

ni hivi nna uhakika miaka mitano nyuma hata ulikua humjui sasa nashangaa anakuliza.

kata mti panda mtu kata mti panda mti

tena chagua mti ule ambao unatoa matunda.

nakuhakikishia ukirudi miaka mitano nyuma waaala hata ulikua huwa kuwa nae.

hangaika na maisha yako na ndugu zako uliozaliwa nao tumbo moja sio hawa wajujuu juuu ha ha ha ha

samahani lkn
Huu ushauri wako nitatengeneza kabango na kuprint niusome kila Mara umenipa nguvu yakunyanyuka tena
 
pole mpenzi .. bora kakuacha sa hivi kuliko angekuoa halafu akucheat na asikuheshimu kila uchwao
 
Pole sana
Huwa inauma sana ila bora kakwambia ukweli kuliko angeendelea kukupotezea muda
 
kwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?

ni hivi nna uhakika miaka mitano nyuma hata ulikua humjui sasa nashangaa anakuliza.

kata mti panda mtu kata mti panda mti

tena chagua mti ule ambao unatoa matunda.

nakuhakikishia ukirudi miaka mitano nyuma waaala hata ulikua huwa kuwa nae.

hangaika na maisha yako na ndugu zako uliozaliwa nao tumbo moja sio hawa wajujuu juuu ha ha ha ha

samahani lkn
Mh ushauri wa mwendokasi
 
Back
Top Bottom