Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo umeanza darasa naona, pambanaHongera ngoja nijifunze sasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hadi nimechekanimependa tu vimiguu vyako.
unalia kuruga gani nami nkusaidie kulia aaaah hiiiii oooooh mamaaaaa nimeachwaaaaa jamaniiiiiiiiiii uuuuuuuwi dadaaaaa njooooo nakufaaaaa uuuuuuuuwi jaman baby nisameheeee sitarudiaaaa nakupendaaa aaaaaaaah
Napambana sasaNdo umeanza darasa naona, pambana
Asante Myna BbyPole
Haya, poleeeNapambana sasa
ndio nilitaka ucheke maana umelia usiku kucha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]hadi nimecheka
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kabisa.....pia nmemwachia mungu lkn kama ujuavyo maumivu hayaepukiki kwa mtu uliempenda kwa dhatindio nilitaka ucheke maana umelia usiku kucha
wewe muache tu Mungu anamuona na akumbuke malipo ni hapa hapa duniani wewe muombe tu Mungu wako ipo siku utanambia.
bado unataka nikusadie kulia?
Ni kweli hata Mimi najifariji kwa hili neno uliloniambiaUkiachwa mshukuru MUNGU kwa sababu hujui kakuepusha na nn ambacho kingetokea baadaye!!
Haya asante[emoji5] [emoji5]Haya, poleee
Hizi stori ziko sana, ulitakiwa ujue wewe sio wakwanza kutendwa hivi na kuna maisha baada ya kuachwa[emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]leo nmelia sana mpaka sasa sina usingizi siku yangu naiona ndefu ni kama miaka mpaka siku hii kuisha[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] binadamu jamani
Ngoja niweke story yenyewe ila sihitaji PM
Nilikuwa na mpenzi nakiri nilimpenda kwa hali zote.sikua nahitaji pesa wala Mali kutoka kwake nilimpenda ,nilimjali na kumheshimu lakini alibadilika gafla na kuanza kupunguza mawasiliano sikushangaa sana nikajua lambdani shughuli zina mfanya awe hvyo. kwahyo nikaendelea kumvumilia lakini mwisho uvumilivu ulinishinda nikawanamsihi kirafiki tu kama haniitaji aniambie. Lakini ndani ya miaka miwili ya mahusiano jana ananiambia anampenzi na familia yao inampenda sana huyo binti kwahyo hawezi kuwa na mimi
kwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kabisa.....pia nmemwachia mungu lkn kama ujuavyo maumivu hayaepukiki kwa mtu uliempenda kwa dhati
Nmejua ...namaisha lazima yaendeleeHizi stori ziko sana, ulitakiwa ujue wewe sio wakwanza kutendwa hivi na kuna maisha baada ya kuachwa
Huu ushauri wako nitatengeneza kabango na kuprint niusome kila Mara umenipa nguvu yakunyanyuka tenakwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?
ni hivi nna uhakika miaka mitano nyuma hata ulikua humjui sasa nashangaa anakuliza.
kata mti panda mtu kata mti panda mti
tena chagua mti ule ambao unatoa matunda.
nakuhakikishia ukirudi miaka mitano nyuma waaala hata ulikua huwa kuwa nae.
hangaika na maisha yako na ndugu zako uliozaliwa nao tumbo moja sio hawa wajujuu juuu ha ha ha ha
samahani lkn
Mkuu usiishie kuelewa Ujumbe tu nielewe na mimi pia.Huu ushauri wako nitatengeneza kabango na kuprint niusome kila Mara umenipa nguvu yakunyanyuka tena
Mh ushauri wa mwendokasikwani Mkuu umekua nae kwa mda gani huyo kiumbe?
ni hivi nna uhakika miaka mitano nyuma hata ulikua humjui sasa nashangaa anakuliza.
kata mti panda mtu kata mti panda mti
tena chagua mti ule ambao unatoa matunda.
nakuhakikishia ukirudi miaka mitano nyuma waaala hata ulikua huwa kuwa nae.
hangaika na maisha yako na ndugu zako uliozaliwa nao tumbo moja sio hawa wajujuu juuu ha ha ha ha
samahani lkn