Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2.7 B wameshindwa.Walete pesa hizo,Club chukueni pesa msije kuanza drama za sijui aripoti kambini. Kama barua imefika wapeni dau biashara ifanyike chap chap. Unless washindwe wao.
Ukweli upi huo zaidi ya huo kuwa ye ni mchezaji mzuri? Unadhani hiyo team ya Norway ni wakurupukaji kama wewe mpaka wamtumie barua ya mwaliko!? Wenzetu wanafatilia nyendo za mchezaji hata miaka mitatu kabla ya kufanya maamuzi, huo mwaliko wa kutrain na kikosi cha kwanza inakuwa ni hatua ya mwisho kabisa katika kujiridhisha. Anyway, tufanye Kibu siyo mchezaji mzur, tutajie wachezaji wako wazuri then utuambie wanahitajika wapi.Tatizo kubwa la kibu ni kwamba, anaamini yeye ni mchezaji mzuri na mkubwa sana. kama kuna mtu karibu yake amwambie ukweli.
Kiwango hichohicho ndo kilifanya mchanganyikiwe na kuweka mezani mamilioni kupata saini yake.Kwa kiwango chake aende tu hakuna kitu hapo..
Kwani Kibu aliongea na Simba wakagoma kumruhusu?Kutoroka ni kosa linalo angukia katika ukosefu wa nidhamu kwaiyo timu inaweza kumpa adhabu ila si kuzuia yeye kuuzwa nje kwakua ni makubaliano ya ki mkataba.
Hata Simba wakigoma kumruhusu, Tff wata mruhusu kwakua nakala za mikataba wanazo na icho kipengele kita mbeba Kibu.
Ubaya Ubwela.
Kufatilia nyendo Hakumaanishi kutokukosea mzee.Ukweli upi huo zaidi ya huo kuwa ye ni mchezaji mzuri? Unadhani hiyo team ya Norway ni wakurupukaji kama wewe mpaka wamtumie barua ya mwaliko!? Wenzetu wanafatilia nyendo za mchezaji hata miaka mitatu kabla ya kufanya maamuzi, huo mwaliko wa kutrain na kikosi cha kwanza inakuwa ni hatua ya mwisho kabisa katika kujiridhisha. Anyway, tufanye Kibu siyo mchezaji mzur, tutajie wachezaji wako wazuri then utuambie wanahitajika wapi.
Hicho KIPAJI, anachoooo!!?Pamoja na hicho kipengele kwenye mkataba, alipaswa aishirikishe klabu kwanza ndio apewe go ahead... Huu aliofanya ni uhuni na haukubaliki. Wakati mwingine kipaji bila elimu ni mzigo tu.
Madai ya kibu ni kwamba,hapo awali Kuna ofa kadhaa zilitoka Ulaya na zilipofika Kwa Simba ikawa Uongozi unambania kuondoka,na ndipo baada ya kufahamu ukweli huo kama unakumbuka ndipo drama zikaanza Kwa jamaa ya kwamba Kama wanataka abaki inabidi wamuongezee pesa!Sasa kumbe, mkataba unamruhusu, kwanini asiombe ruhusa, kuliko uhuni aliofanya.. Ni vema kuachana kwa wema.
Ubaya ubwelaKuna kipengrle kinamruhu kutoroka, maana ya kipengele kilichowekwa ni kwamba akipata timu Ulaya asikataliwe kuuza na sio uhuni unaofanywa.
Mliyoyashangilia kwa Fei, leo ubaya ubwelili..!!Hajielewi Mkimbizi yuleee
Kuuzwa tu bila ya maslahi?Kuna kipengrle kinamruhu kutoroka, maana ya kipengele kilichowekwa ni kwamba akipata timu Ulaya asikataliwe kuuza na sio uhuni unaofanywa.
Hizo Sheria za kijiweni, Dube alishindwa Nini kuuzwa na tff, kuuzwa kunategemea mkataba wake unasemaje na sio TFF kuuza wachezaji.Kutoroka ni kosa linalo angukia katika ukosefu wa nidhamu kwaiyo timu inaweza kumpa adhabu ila si kuzuia yeye kuuzwa nje kwakua ni makubaliano ya ki mkataba.
Hata Simba wakigoma kumruhusu, Tff wata mruhusu kwakua nakala za mikataba wanazo na icho kipengele kita mbeba Kibu.
Ubaya Ubwela.
Uungwana ndio umetucheleweshea kusonga mbele Bongo. Wacha asonge mbele kwa manati au kunyongaHAta akiwalipa Simba ila huo alioufanya sio uungwana tusitetee uovu mkuu