Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Kama haijafika na tuna mkataba nae na hajauvunja wala tusiwe na papara. Ana option 2 tu kuvunja mkataba wake au kuleta maombi ya kununuliwa.Kama haijafika? Maana kama ni conditional sentence, lazima uzungumzie pande zote