Yametimia: Hatimae Kibu Denis azungumzia sakata lake na Klabu ya Simba

Kama haijafika? Maana kama ni conditional sentence, lazima uzungumzie pande zote
Kama haijafika na tuna mkataba nae na hajauvunja wala tusiwe na papara. Ana option 2 tu kuvunja mkataba wake au kuleta maombi ya kununuliwa.
 
I said this
 
Kuna kipengrle kinamruhu kutoroka, maana ya kipengele kilichowekwa ni kwamba akipata timu Ulaya asikataliwe kuuza na sio uhuni unaofanywa.
Kama umemsikiliza inaonekana huyu kibu alipata timu akawapa ushirkkiano shida club ikamkomalia akaamua kuanza akiamini kilekipengele ambacho simba waliulizwa wakakataa kipo wakaishia kumsambaza huyomhuni kwa media amchafue kd
Ubaya ubweka
 
Kama yanga na feitoto hahahaaaaa udugu umalaaaaa amjasemaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…