Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Juzi tu nimeona picha zao za uchi mtandaon kumbe ndo walikuwa wana post uchi wao kwa mara ya mwisho? Nyie hawa kwel sio wazima methadone inawahusu wot wawil

hahaaaa!!
methodone tenaa!!
hivi kisa nini had wameachana?
 
hahaaaa!!
methodone tenaa!!
hivi kisa nini had wameachana?

Wengine wanasema wivu wa mapenzi, wengine wanasema shilole kachoka kulea bas tafran ila ngoja tutajua tu c unajua warumi tena, apa nimeweka masikio juu tayar kwa kudaka mchele
 
Eeh kumbe nili post? Mwenzio nahangaika apa kuandika tena nkajua sijapost, khaa mdomo na wenyew huu bado tu sikomi na ban mbil zote zile, ila si ulipata kidog ubuyu ndo vile

Nimepata binamu na kucopy nimecopy
 
Wengine wanasema wivu wa mapenzi, wengine wanasema shilole kachoka kulea bas tafran ila ngoja tutajua tu c unajua warumi tena, apa nimeweka masikio juu tayar kwa kudaka mchele

hamna kitu pale kwani alitumwa kumlisha!!
 
Nimepata binamu na kucopy nimecopy

Duh umetisha mbaya binamuu

Sasa hawa ma mods maana ya we dare to talk openly wameweka ya nini? Si bora sasa nirud fb maana nina ma ubuyu ya haja ila ukiweka tu wanatoa bila sababu
 
Duh umetisha mbaya binamuu

Sasa hawa ma mods maana ya we dare to talk openly wameweka ya nini? Si bora sasa nirud fb maana nina ma ubuyu ya haja ila ukiweka tu wanatoa bila sababu

Mwenzangu afadhali na insta nipm mimi.
 
Eeh kumbe nili post? Mwenzio nahangaika apa kuandika tena nkajua sijapost, khaa mdomo na wenyew huu bado tu sikomi na ban mbil zote zile, ila si ulipata kidog ubuyu ndo vile

He... Kumbe ni binamu.... Za siku?
 
Kwa hiyo yule dogo alipiga mambo pale?


By...Free ideas..
 
He... Kumbe ni binamu.... Za siku?

Ndo mie binamu, nimerud, nitakaa humu had wiki ijayo ndo gossipcopwarumi atakuwa huru maana warumi yupo hoi sijui mwaka gan atakuwa huru ila nipo kwa niaba apa
 
Last edited by a moderator:
Ndo mie binamu, nimerud, nitakaa humu had wiki ijayo ndo gossipcopwarumi atakuwa huru maana warumi yupo hoi sijui mwaka gan atakuwa huru ila nipo kwa niaba apa

Binamu I always tell you achana na mambo ya kulumbana na watu maana wanafanya kusudi kukuprovoke upate ban lakini sijui why you don't take the advice...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom