Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

Yametimia: Shilole kiuno ''Shishi Baby'' ampa kibuti Nuhu Mziwanda

hahaaha Cc warumi njoo umuone ndugu yako huku kashaharibu kabaki na tatoo tu.
 
Last edited by a moderator:
hahaaha Cc warumi njoo umuone ndugu yako huku kashaharibu kabaki na tatoo tu.

nilikuwa namshangaa huyo shilole kutaka kuolewa na huyo mwanafunz, kwanza jina lake lenyew mziwanda bado ananuka maziwa sasa lenyew limekubuhu kilichomuwasha had kwenda kwa kitoto cha wat, kakichezea kidudu chake wee kachoka kamuacha, huu ni unyanyasaji wa kijinsia, shilole sio mtu mzur kamtumia mwenzie kamuacha
 
Last edited by a moderator:
yaani mi nimetumiwa pm ni bonge la ubuyuuu!!
ufanyie manuva basss!!
aisee hadi nimeteemeka thnx to@ladykims

Hivi haujui na mie huku umenitetemesha.Please nifanyie mpango na mie pm basiiiii
 
Ndo mie binamu, nimerud, nitakaa humu had wiki ijayo ndo gossipcopwarumi atakuwa huru maana warumi yupo hoi sijui mwaka gan atakuwa huru ila nipo kwa niaba apa

I miss you my dia binamu.Yani jukwaa lilopooza na nadhani upo full.Sasa hivi usideal na sijui watu gani wewe angalia tunaokutegemea hapa jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
Wengine wanasema wivu wa mapenzi, wengine wanasema shilole kachoka kulea bas tafran ila ngoja tutajua tu c unajua warumi tena, apa nimeweka masikio juu tayar kwa kudaka mchele

Download u heard hapo juu umetumwa utajua nn ameongea mziwanda baada ya kuhojiwa na suddy brown:
 
Sasa Mziwanda ndo akaweke pasi ya moto kwenye tatoo yake ili aifute, na bonge la kovu libaki. Maana wakati anajichora hakuwa na akili ya kufikiria sasa akiona kovu ndo akili itamjia.
 
Alichosema Shilole 'shishi baby' kwenye Instagram
 

Attachments

  • 1407256775515.jpg
    1407256775515.jpg
    53.8 KB · Views: 544
Dah shilole ana mambo kweli ila na huyo mziwanda naye anapenda umarioo
 
Back
Top Bottom