JONASON
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 461
- 702
haha...sawa sawa mkuu ndo maisha :A S thumbs_up:Kweli mkuu ni kuzikung'uta tuu! Unapisulia mayai mwingine anaidaka mwendo mdondo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha...sawa sawa mkuu ndo maisha :A S thumbs_up:Kweli mkuu ni kuzikung'uta tuu! Unapisulia mayai mwingine anaidaka mwendo mdondo!
Hivi vijana kama hawa huwa wana baba na mama??
hamna tatizo dogo nae kashajisafishia rungu acha wengine waendelee kupiga mambo
Ni matokeo ya malezi ya singo maza,akili inakuwa kike kike zaidi.hata girlfriend unaona ana haki ya kukulea
Aende mwenge kuna Salon wanadawa ya kufuta tatoo ila sio zile zilizochorwa kwa korosho.
Yeye mwenyewe kasema kumpenda mwanaume asiye na hela ni kipaji,mnategemea nini hapo!
Sema dogo tunamsamehe bure uwelewa ulikuwa mdg kashajifunza ila its too late.sijawahi kufikiria kabisa kuchora tattoo ktk mwili wng ila siku nikiamua kujichora tattoo basi nitajichora majina ya binti zng 2,glory na Vanessa kwasababu hao ndio hawawezi kunikana mpk mwisho wa dahari.
Sema dogo tunamsamehe bure uwelewa ulikuwa mdg kashajifunza ila its too late.
Mahaba nibabue...!!
sijawahi kufikiria kabisa kuchora tattoo ktk mwili wng ila siku nikiamua kujichora tattoo basi nitajichora majina ya binti zng 2,glory na Vanessa kwasababu hao ndio hawawezi kunikana mpk mwisho wa dahari.
kama wewe ni SHE sawa ila kama wewe ni HE nakushauri kabla hujachora majina hayo ya mabinti zako DNA ihusike otherwise kama wewe ni muumini wa kitanda hakizai haramu
mkuu mimi ni he ila siunajua kuna watoto wengine hawahitaji DNA?ukimuangalia tu unajua huyu ni mwanangu cuz ni copy,hivyo ndivyo nilivyo mimi na binti zangu,kinachonipa moyo ni kuwa nimezaa na wanawake wawili tofauti lakini ukija nyumbani kwangu huwezi kujua wale ni watoto wa mama wawili tofauti walivyofanana.
100% wa kwako hao wanangu mimi ukiwaona km sijawazaa mie wanafanana na baba yao wakike ila km wakivaa kiume utasema wanaume
gadnahee hee mwaka huu mbona mmbaya kwa akina mario? mbasha, ezden, mziwanda,_________( list inaendela)