Yanahitajika mageuzi ya haraka sana CHADEMA, chama kinapoteza ladha

Yanahitajika mageuzi ya haraka sana CHADEMA, chama kinapoteza ladha

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka.

Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini

Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana Dk Slaa
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Mkuu usijali, Dr. Slaa bado yuko hai, mtafute muanzishe chama. Na hicho chama mkianzisha muingie kila kijiji ili muwe na ladha.
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Wewe ccm unakosoa uongozi wa CHADEMA ili upate nini wakati kwenye chama chako kunanuko Rushwa,udini na ukabila.
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Mlipokuwa mnawaengua hamkujua madhara yake???Tena mlishangilia sana ule upumbavu wa Mwendazake mkaona yuko sahihi 100%.Hamkufikiri madhara ya chama kimoja,hamkufikiri kuhusu uhuru wa vyama vingine vya siasa,hamkufikiri uhai wa nchi yetu,hamkufikiri utawala bora,hamkufikiri madhara ya kusifu sifu na kunyenyekea,leo unataka chadema ikusaidie wakati huo huo kuna baadhi ya viongozi mlipendekeza ama wafungwe au wauawe.
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Mku kikosi kazi kikimaliza kazi yake ndo utawajua hawa uliowataja hapa.
 
Ndiyo maana Kenya wanamaendeleo kuliko Sisi yaani mgombea lazima afanye Yale ambayo wananchi wanataka ,acconterbilities
Maendeleo ya Kenya yalipatikana baadaya Kibaki kufanya mabadiliko ya Kimfumo na hapa ni muda tu Mku
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Dont worry. Tunasubiri kufukuzwa XCM na Chongolo tuhamie CHADEMA tuje kuwaboost mzaliwe upya!
Sooner than later mambo yatakuwa fire!
Maana huyu zz anazani bila Xcm hatuendi chooni kama yeye! 😎😎😎
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Mkuu Mganguzi....
Unaishauri Chadema humu, jee una ngozi ngumu?.
Angalia wenzio tulioshauri na tulijibiwa nini?.
Anza hapa CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015 na Ushauri wa Bure kwa CHADEMA: Heri Nusu Shari Kuliko Shari Kamili! - Kuepusha Shari, Kubalini Kosa! na CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao na Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
p
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Unammisije mtu ambaye mko naye CCM ? hapa ndipo uzi wako ulipodharauliwa kabisa
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Unataka itetea watu gani wasio jitambua?
 
Inasikitisha kwa Wafuasi wa CHADEMA humu JF badala ya kujibu hoja wanamsakama na kumrushia madongo mleta hoja!!

Hakuna ubishi CHADEMA ni chama ambacho kwa sasa kinachungulia kaburi, kwa sababu Serikali iliyoko madarakani inafanya yaliyo kinyume na Sera na Itikadi zake. Tulitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa mstari wa mbele kutetea wananchi, zaidi kuliko walivyofanya wakati wa utawala uliopita km tozo za miamala, upandaji bei wa bidhaa, hasa mafuta ya kula na nishati, nk.
 
Najua CHADEMA Huwa hawapendi kuambiwa chochote. Muda wote wanaona wako sahihi .usiwakosoe usiwaambie hapa mnapotea au pale pametoboka. Wana haiba ya ujuaji ingawa sio wote. Kivyovyote vile lazima tuwaambie ukweli ,CHADEMA ya Sasa imepoa hata viongozi wake wamepoa sana ,hatuoni zile harakati ambazo ziliingia mpaka vijijini .Kila sehemu tulikuwa tunasikia neno people's power .Leo mbowe kimya,mnyika kimya ,lissu ndio vile Tena ,siku zinaenda nammiss sana dk slaa
Kumbe wewe mzushi. Naamini hivyo kwa mstari wa kwanza kabisa wa andiko lako.
Nanukuu. "Najua CHADEMA hawapendi kuambiwa chochote".
Mwisho.
Kumbe ungekuwa na uchungu na unayotaka ungeanza kushauri kwa kusema nini utafanya kama wewe.!!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Kumbe wewe mzushi. Naamini hivyo kwa mstari wa kwanza kabisa wa andiko lako.
Nanukuu. "Najua CHADEMA hawapendi kuambiwa chochote".
Mwisho.
Kumbe ungekuwa na uchungu na unayotaka ungeanza kushauri kwa kusema nini utafanya kama wewe.!!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
Kifo chochote kinapotokea anaekufa Huwa hajui kwamba anakufa
 
Inasikitisha kwa Wafuasi wa CHADEMA humu JF badala ya kujibu hoja wanamsakama na kumrushia madongo mleta hoja!!

Hakuna ubishi CHADEMA ni chama ambacho kwa sasa kinachungulia kaburi, kwa sababu Serikali iliyoko madarakani inafanya yaliyo kinyume na Sera na Itikadi zake. Tulitegemea Viongozi wa CHADEMA wangekuwa mstari wa mbele kutetea wananchi, zaidi kuliko walivyofanya wakati wa utawala uliopita km tozo za miamala, upandaji bei wa bidhaa, hasa mafuta ya kula na nishati, nk.
Wafuasi wa chadema wanamuuguza mgonjwa ila hawataki ushauri wa daktari
 
mageuzi yoyote yanaanza kwako na Mimi wewe kwenye eneo lako umefanya nini Kwa jamii yako!Sisi raia tuamke wenyewe viongozi wanaasilimia 15 Sisi watanzania tuna 75 kuleta mageuzi
Anayekaa na maiti mochwari haogopi mizoga
 
Back
Top Bottom